THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Pumbavu zako. Mnarig elections mnataka tuwabembeleze?Kafie mbele wewe mbwiga, huna kitu huwezi tufundisha chochote. Uchaguzi umefanyika bongo, mind your kunyanlander business. Bure kabisa ni bbi
Wacha kusingizia wapiga kura. Mumeiba kura. Kubali yaishe.Tatizo kubwa nilililoliona ni asilimia kubwa ya watu kutojitokeza kupiga kura!!! Ukiangalia uwiano utaona kuna shida.... Almost robo tatu ya waliojiandikisha hawajaenda kupiga kura!!!kwa kifupi watu wako puzzled bado si CCM wala upinzani...2025 maandalizi yaanzie kwenye hili kundi.
View attachment 1615535
130/131.....CCM hawapendi jokes
Wakenya ndo nyoko kabisa. Hatujasahau ajali zao za helikopita za kutengenezaNyie mlimuua kabisa IT wa Electoral commission.
Tunasubiri pongezi toka kwa Uhuru.
Mpiga kura gani niliye msingizia?!Kama una maumivi meza tembe mbiliWacha kusingizia wapiga kura. Mumeiba kura. Kubali yaishe.
Nyang'au ndio mna aibu? Ha ha ha.Yaani hata aibu hamna kabisaaaa....
Haya ya nini wakati najua ndugu zangu wanapata maendeleo chini ya Maghufuli??Wewe unaongea ukiwa USA ukienjoy maisha halafu unatetea huu upupu uliofanyika? Hata huna haya?
Usije kunililia wakati kitumbua kimeingia mchanga.Haya ya nini wakati najua ndugu zangu wanapata maendeleo chini ya Maghufuli??
He is the MAN we want, wether you and your NGOs like it or not. We have the real deal and he wants a rubber stamp legislature, and he got it.
Just watch!
Mngeendelea kuachia hata wafike kumi wa kuzuga.Mgombea wa CHADEMA, Aida Khenani ameshinda Ubunge Jimbo la Nkasi Kaskazini baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy (CCM) aliyepata kura 19,972.
#UchaguziMkuuTanzania2020View attachment 1615738
AMENMalipo ya dhuluma ni laana na kifo
Laana ya mungu iwapate wote walioshinda kwa dhulma na wizi
Baraka za mungu ziambatane na walioshinda kihalali na walio tayari kuwatumikia wananchi
Kama Urusi na china wameweza sisi ni nani tushindwe. Hebu tukae chini tujenge nchi. Hizi siasa za kelele zinachelewesha maendeleo.Mungu aliyetulinda na Corona ndiye huyu huyu atakayewalaani waliomkimbilia kuomba msaada wa kuondoshewa janga la Covid?
Mbona hukuweka wa CUF au hadi awe CHADEMA ndiyo aonekane mpinzani?Mgombea wa CHADEMA, Aida Khenani ameshinda Ubunge Jimbo la Nkasi Kaskazini baada ya kupata kura 21,226 akifuatiwa na Ally Keissy (CCM) aliyepata kura 19,972.
#UchaguziMkuuTanzania2020View attachment 1615738
Mbona mnaonyesha kuumia sana kuliko hata watanzania wenyewe?Wacha kusingizia wapiga kura. Mumeiba kura. Kubali yaishe.
That will never happen...Usije kunililia wakati kitumbua kimeingia mchanga.
Imefikia siasa za TZ zinamgusa mkenya kuanzia serikali mpa mtu mmoja mmojaMbona mnaonyesha kuumia sana kuliko hata watanzania wenyewe?