Ticket ya bei ya chini ni sh elfu tano (5,000/=)Naona kila thread ya ticket nki uliza ticket moja ni shingapi sijibiwi .hii ina onesha wabongo wengi ni mandazi kazi yetu ni kubeba kila jambo na kuli andika tu
Never give up!Nyie Sio Wa Kwanza Mbona Sisi Tulichangiwa Ticket 45Elfu Tena Na Malkia Elizabeth Mwaka 1953 Sio Kitu Kipyaa
Mirembe wafungue matawi mikoaniYanga imewafanya muwehuke haswa mashabiki wa Simba. Yaani mpo hatua mbaya sana ya kurukwa na akili, Sasa tiketi 500,000 mashabiki wakakae kwenye uwanja vipi wakati uwezo wa uwanja ni watu 60,000 pekee?
Tickets bei yake kianzio ni shilling elfu 5Naona kila thread ya ticket nki uliza ticket moja ni shingapi sijibiwi .hii ina onesha wabongo wengi ni mandazi kazi yetu ni kubeba kila jambo na kuli andika tu
AnhaTickets bei yake kianzio ni shilling elfu 5
ShukraniTicket ya bei ya chini ni sh elfu tano (5,000/=)
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenye wivu wajinyonge.
Kweli kabisa, kipindi kile simba wanaitwa queens. Hahahahha hii timu imeshaitwa majina mengi kweliNyie Sio Wa Kwanza Mbona Sisi Tulichangiwa Ticket 45Elfu Tena Na Malkia Elizabeth Mwaka 1953 Sio Kitu Kipyaa
mkifungwa sijui mtaweka wapi uso wenuRais wa nchi - Tiketi 5,000
Wizara ya Michezo>BMT -Tiketi 10,000
Benki ya NBC - Tiketi 5,000
Benki ya CRDB - Tiketi 5,000
Benki ya NMB - Tiketi 5,000
Mkuu wa Mkoa Dar - Tiketi 1,000
Makamu wa YangaSc - Tiketi 500
JUMLA: Tiketi 31,500..
WHY NOT US? '
Makolo hata ile mechi ya Malumo mlitabiri hivyo hivyoMwisho wa mechi
UTO 0
USM 2
Tunaomba tuoneshe ni wapi mashabiki au viongozi wa Yanga wameomba msaada wa kununuliwa tiketi? Hizo ni taasisi mbali mbali zimeamua kushow love kwa mashabiki na wala hawakuombwa wala kulazimishwa.Kwamba Yanga mnahitaji kununuliwa tiketi kwenda kusapoti timu yenu katika mechi ya fainali? Halafu hili mnashangilia na kutumia kama fahari na kukejeli wengine?
Ninasemaga Simba na Yanga kimsingi kabisa ni timu zilizo na mashabiki wa aina mbili tofauti sana. Sitalielezea zaidi ila wenye akili watang'amua hizi tofauti ziko wapi.
Waliofanya hivyo wanawafahamu mashabiki wa Yanga vizuri kwa hiyo point yangu iko pale pale.Tunaomba tuoneshe ni wapi mashabiki au viongozi wa Yanga wameomba msaada wa kununuliwa tiketi? Hizo ni taasisi mbali mbali zimeamua kushow love kwa mashabiki na wala hawakuombwa wala kulazimishwa.