Haijawahi tokea, ni kufuru! Yanga yachangiwa zaidi ya tiketi elfu 30 kutoka kwa Rais, Wizara, viongozi, Mabenki, na bado zoezi linaendelea

Na sisi wana uchumi hatuwezi kuruhusu hilo litokee.

Hapo kuinusuru nchi isiingie kwenye hasara isiyokuwa na lazima solution ni moja, USM ALGER apewe motisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usisahau wamechangia kwenye mechi ya fainali..!! Nyie na robo zenu mchangiwe nini?
 
Yanga wangekuwa hatua hii kwenye CAFCL wangechangiwa zaidi ya ticket 500,00 kumbe ht 50k hazijafika!!??
Hofyo kabisaaaaaaa hii
Puaaaa
Kwahiyo hao 500,000 wakajazane kwenye uwanja wenye uwezo wa watu 60,000? Mmepewa akili lakini mnatumia kuvukia barabara tu..!! Au la wivu unawauwa taratibu
 
We Mama mbona sikuelewi sasa, si ulinahidi kuwa Yanga akibahatika kubeba ubingwa wa CAFCCL 2023 unahamia rasmi kwetu Wananchi?

Kweli Ke huwa hamueleweki daaah [emoji849][emoji26]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Bwana mtani hebu niache...hatujawahi eleweka siku tukieleweka ujue na mwisho wa dunia umefika
 
Kwa hiyo ndo kusema Sisi mashabiki tuitafute nauli tu...au hizo ticket anapewa nani!!
 
Naona kila thread ya ticket nki uliza ticket moja ni shingapi sijibiwi .hii ina onesha wabongo wengi ni mandazi kazi yetu ni kubeba kila jambo na kuli andika tu
Ticket mzunguko elfu tano
 
Game inapigwa kwenye dimba la taifa kwa kuwa Yanga haina wa kwake.

Namungo, Azam, wana umri gani vile ukilinganisha na wale wakongwe wawili?

Mambo ya Majaliwa kuokoa wahanga wa ndege haya!
Namungo haina uwanja usipotoshe.
 
Utanionyesha na uwanja wa AC Milan,au nayo ni timu ndogo kuliko Namungo ? Kupanga ni kuchagua.
Unadhani kwanini AC Milan hawana uwanja?

Timu ya pili kwa mafanikio makubwa baada ya Real Madrid.

Unamkumbuka Berlusconi?
 
Mama katoa mpya kwaba Yanga wakibeba kombe litatembezwa kila kijiji cha Tanzania kama mwenge wa uhuru, kama utahisi kukereka ni ruksa kahamia Burundi.
Yanga itakuwa timu ya kwanza kuleta kombe la CAFcc , ila simba itakuwa timu ya kwanza kuleta kombe la CAFCL Maana malengo yanatofautiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…