The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Ticket moja ni sh 5000, ticket 1000 ni sh 5000,000 je, mkuu wa mkoa anakosa milioni 5 muda wote huo aliofanya kazi? Acha mawazo ya kimaskini.On a seriius note mkuu wa mkoa anatoa wapi pesa ya kunua tiketi buku???
Cag ana kazi kubwa sana asee