Haikubaliki, Diaspora wanatumika kisiasa na wanaharakati

Haikubaliki, Diaspora wanatumika kisiasa na wanaharakati

View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
wewe ndiye muhuni unayejipendekeza kwa utawala hao c wahuni wana haki ya kuonesha hisia zao hawajatumwa na mtu yoyote na huyo uliyemuonesha mshare kweli ni mzungu sasa dhambi iko wapi kushirikiana na Wadai haki nina wasi wasi kama kweli weye unaishi marekani
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
Hao ni wauza madawa ya kulevya,serikali iwatolee taarifa kwa mamlaka za marekani
 
Hawa watanyimwa passport wakienda kuomba ubalozini. Wameipaka matope nchi yao na wanaonekana ni wasaliti.
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241]
Sasa kama siyo Watanzania tunahangaika nao wa kazi gani
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241]

Huu ni mwandiko wa yule Loveness aliyesema rais anaweza chomwa kisu, mara ooh hawezi kutembea!
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241]
Wakati Mama akiwa Marekani kipindi kile Mange ameenda kumpokea, pia walikuwepo wazungu, je walikuwa wanatumika au walikuwa wahuni? Acha upimbi wewe
 
BOSS was tiss anapaswa kufutwa kazi alipaswa kuiona mapema wangeandaa watu wakuwatimua
 
Ina maana huko uvccm hawapo? Walizaliwa kutimuliwa na makofi juu, kwa jiwe wasingethubutu
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
Monica Mgeni
Mbona wewe ndiye mhuni Og..
Kwani hao diaspora hawana utashi wa kutambua kama Katiba Mpya Kwa Tanzania ni muhimu sana Kwa sasa?!!!
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania 🇹🇿
Ww uliyeleta mada unataka kutuambia kwamba kudai katiba ni uhuni,hv kwa akili yako unadhani hata hayo anayoyafanya Samia kule Marekani yana faida kwa watanzania hata kama anatafuta hela kazi bure maana hana uwezo thabiti wa kusimamia mali za Umma wa watanzania maana SAG amesema Kuna wizi mkubwa na msimamizi na mlinzi namba moja aliyekabidhiwa usukani yeye yuko Marekani anacheza FILAMU na huku nyuma Wahuni wanagawana fedha za walipa kodi,Hii nchi basi tu.Halafu mjinga mmoja anasema kudai katiba ni uhuni kisa walikuwa watu kumi na tano,mm nilidhani yuko mmoja,mbona ni wengi sana hao.
 
Kuongoza binadamu ni kazi kweli kweli. Akirudi akutane na zawadi inayomsubiri ya mbuzi anayekokotwa kwa kamba. Ndio maana Mfalme Sulemani aliomba hekima ya kuwaamua watu Mungu aliompa kuwaongoza kwa haki.
 
View attachment 2198682Tuwakatae Mamluki waliojikusanya Katika Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani; ni kikundi cha wahuni kinachotumika na wanaharakati

Na;

Tanzania Diaspora waishio Marekani (USA)

Yanayoitwa maandamano ya kudai katiba mpya katika mitandao ya kijamii kwamba yalifanywa na Watanzania waishio Marekani pindi Rais Samia akiendelea na Ziara yake nchini humo, ukweli ni kwamba kikundi hicho ni vijana wahuni (wasiozidi watu 15) wasio kuwa na ajira ambao wengi wao siyo Watanzania ambao wamelipwa na Wanaharakati na wapinzani waliopo nchini Tanzania ili kuchafua taswira ya nchi na serikali katika uso wa Dunia.

Ikumbukwe kuwa wakati wahuni hao wanafanya maandamo uchwara, Rais alikuwa akiwahutubia Watanzania waishio Marekani na kujadiliana nao juu ya masuala mbalimbali kwa maslahi mapana ya maendeleo ya Taifa letu huku wahuni hao wakiwa nje ya jengo wakipaza sauti zao ili kuwaridhisha wanaharakati na wapinzani ambao wamewapa ujira wa siku kwa ajili ya upuuzi huo.


Tanzania Diaspora in USA tunatambua jitihada zinazofanywa na Serikali kwa kushirikiana na wadau wa masuala ya siasa nchini Tanzania ikiwemo vyama vya upinzani kupitia Kikosi kazi cha Maridhiano ya Kisiasa kilichoundwa na Serikali kwa ajili ya kuleta muafaka wa kitaifa juu ya masuala mahususi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii katika kuendelea kufanikisha maendeleo ya Taifa.

Hivyo, hatukubali kuona ajenda ya chama kimoja cha kisiasa cha upinzani ambacho kinashirikiana na wanaharakati wake kuzima Ndoto za viongozi wetu kwa maslahi yao ya kisiasa kuliko maslahi ya Taifa.

Tuwakatae mamluki!

Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241]
Hivi Katiba mpya itatengenezwa na Wamarekani au Watanzania? Hao walioandamana wamesema hiyo Katiba iundwe huko Marekani kisha iletwe kutumika Tanzania? Mbona mna mawazo ya kizuzu hivi huku mkijiita Chama Tawala?

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kwani na nyie si mngeenda na mabango ya kusapoti katiba iliyopo.... kwanini hamna hamasa kama wanaopinga?
 
Back
Top Bottom