Haikubaliki, Diaspora wanatumika kisiasa na wanaharakati

Munaowaita mamuluki ndio hao mnaowatembezea kibaba muweze kuishi.
 
Tunakukataa wewe unaeminya haki ya kikatiba ya wananchi, hapo wanatimiza haki yqko ya kikatiba, acha uhuni
 
Sasa utawashinda vipi hawa wezi kwa njia zao hizi? Kama unavyoona hapo, wanashirkiana na jeshi na Tume. Na hapo kutakuwa na TISS pia. Yaani Watanzania tunafanyiwa uhuni sana.

Ndio maana Mungu akaingilia kati lakini binadamu huwa tuna kichwa ngumu sana. Bado hatujaupata ujumbe wa Mungu. Kama ilivyokuwa wakati wa Nuhu, Sodoma na Gomora, ni hivyo hivyo hata leo.
Dada etu amewapigia kura kama watu mia hivi
 
Historia inatukumbusha kuwa walioitwa wahuni ndio waliomng'oa Gaddafi wa Libya madarakani na haohao wanaoitwa wahuni ndio wameandika historia nyingine kwa kumfanya Rais wa Tanzania kutolewa ndani kwa kupitishwa mlango wa nyuma.
 
Tanzania bado kuna wapumbavu Kama Monica.
 
Kwani ni kosa gani au ni kipi kibaya walichokifanya mpaka uwaite wahuni?
Tujifunze kukubaliana na mawazo ya wengine, ingekuwa ni hapa mngefyatua risasi za moto
 
Mbona bongozozo mlimualika hadi ikulu?

Alipokuwa anasafiri na Taifa Stars mbona mbona hamkusema ni mamluki wa Uingereza?

Mkipewa dose ya ukweli kuhusu katiba ndio mnaleta habari za umamluki.

Huoni aibu MATAGA?
Siko upande wa mleta post ila naomba kuuliza maana ya MATAGA?
 
Siko upande wa mleta post ila naomba kuuliza maana ya MATAGA?
Ni kikundi kilianzishwa enzi za Magufuli .

Kikiwa kina lengo la kusifia kila afanyalo Magufuli mitandaoni wakishirikiana na wale waliojiita matokeo chanya.

MATAGA-Make Tanzania Great Again.

Jina na kazi walizokua wanafanya kikundi hicho ni tofauti , hawakua wakichagiza ujenzi wa Tanzania mpya bali nchi yenye chuki, visasi na uvunjwaji wa haki za binadamu.
 
Kwa hiyo hapo uneona umelitumia mahali sahihi?
 
JNa nimemsikiliza mama kawasikia na kachukua maeno yao mazuri
 
We umelipwa kiasi gani?Unadhani kwa kuwa nyie mnalipwa kusifia basi na wanaokosoa nao wamelipwa?

Fungua akili yako wewe,Diaspora umekula marahage ya wapi sijui
 
Hili ni bandiko LA
Hili ni bandiko LA kipumbavu katika historia ya Jamii forum
 
Yaani katiba mpya ni hoja ya Chama kimoja? Hauko makini, katiba mpya ni ya Watanzania, iondoe u-Mungu mtu wa Rais. Rais amekuwa kila kitu yeye, hata akikosea hashitakiwi, Watanzania siyo mifugo uwapeleke tu utakako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…