Haikuwa rahisi moyo uliniuma mno hatimaye nikaishia njiani, nikamuacha aende lakini leo...

Kuna watu wako hivo maisha yao wao wanawaza kucriticize ko siwashangai,alafu mbona story inaeleweka kwanza kajitahd maana ni ndefu kidogo hapa anaandika ili atoe machungu
 
We nae zoba tu songea unateseka vip na videmu wakati cost ya dem wa songea ni kumlipia bodaboda(YEBO) tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sijawahi kuona sehem madem ni warahisi kama songea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] heshimu watu wa songea plz, hawapo hivyo hata.
 
Mhm bi Dada sijui kama nipo sahihi kukuita ivo naona unataka kuunga doti unjiue unicheke jua ni songea ila nimechanganya maeneo isije watu wakanijua humu naona we ni wa kunyumba kabisa
Yes mie ni wa kunyumba kabisaah, ila siwezi kukucheka, na hata kukutambua ni vigumu San, kuwa na amani.
 
Asante sana
 
Kuna watu wako hivo maisha yao wao wanawaza kucriticize ko siwashangai,alafu mbona story inaeleweka kwanza kajitahd maana ni ndefu kidogo hapa anaandika ili atoe machungu
Sahihi kabisa asante
 
Dah, Mkuu story yako imenirudisha nyuma Miaka 10!! Yaani nimepata maumivu yaleyale niliyopata kipindi kile, kweli wanawake Mwalimu wao Mmoja!
Humu tupo wengi ila wengine wamejificha kwenye kichaka cha wasoma comment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…