Haikuwa sahihi kwa Rais kutaja hadharani sababu ya kufanya mabadiliko kwenye Baraza la Mawaziri

Jpm alivyokua anaropoka tuoneshe uliposhauri
Wengine hatujaanza leo kukosoa na kushauri, hii ni thread yangu ya Oct 2018 sijui kama ulikuwa umeshajiunga JF.

 
Oh sasa mbona kampeni zimeanza mapema sanaaa wakati wenzake bado wapo jail?? 😳
 

Na wewe mroge
 
Ilikuwa mwanzo kabisa aliposhauriwa humu kuwa apamge safu yake ila kwa huruma yake akaona awaache wamalize uzee wao

Ila wakajiona ni untouchables na matokeo yake ndio hayo
Warogane sana maana huwa watu wakiwa wanatfuta madaraka utawakuta kanisani ila wakikosa kwa mgangaaaaaa
 
Wale wanaoutaka Urais kawabakiza humo ngoja waendelee kumtungua taratibu.
 

Pia kuutamani urais sio dhambi wala kufru. Hata yeye alikua anautamani na kaupata
 
Ataendelea kuwa Rais wako hata baada ya 2025.Na atachaguliwa na Watanzania walio wengi,wenye chama na wasio na chama. Katiba ya nchi na ya chama chake vyote vinamruhusu na hapajaandikwa mahala popote kwamba Rais hapaswi kuwa mwanamke. Wewe na huyo mgombea wako mwanaume endeleeni kujipanga mkiwa nje ya mfumo subirini hiyo 2030.
 
Upo Sahihi Wenye UCHU wa URAIS ni
Majaliwa
Mwigulu
January

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hampendi kuambiwa ukweli.
Na ukweli SIKU ZOTE UWA UNAUMA.
 
Sahau kitu kama hicho

Hakuna mtu wa kumpa kura huyo mama

Atafanyiwa tu mapinduzi na atakimbia mwenyewe

Si unajua kuna wahuni kibao huko ccm?
 
achana nae huyo tahira
 
Possibly wakati mwingine anaweza kuwa amelazimika kufanya hivyo. Hivi hao wote walioko Ikulu, sisi tulioko kwenye mitandao ndiyo vinara tunawazidi kabisa namna ya kufanya decision making? We seem like to crticize every decission they make, na critics zetu zinamwendea mtu mmoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…