Haikuwa uamuzi sahihi kusitisha ajira hata kwa Walemavu, hili kundi linataabika sana mtaani

Nahis kama ungeacha kuchangia hapa. Unavuruga michango mizuri inayotolewa na wengine.
Siachi...tumejilea vby sana watz..tunapenda mteremko....lazima tuambizane ukwel...siku serikali ikikupa huo msaada uje useme hapa umepewa bure mamilion mangap😏,kwan ukiwa mlemav wa mwili na akili nayo inakua lemavu?
 
Mkuu ahsante sana kwa kutambua hilo, pia ahsantebkwa ushauri na mtazamo mzuri.
Bora tulipigie kelele hili kuliko na kukaa kimya ukizingatia hali ya utawala ilivyo. Ipo siku hizi kelele zitasikika na kuzaa matunda.
 
Lakini mbona anaandika fresh..labda uono hafifu....lakini bado anaweza sana kuanza na chichote then akawa pushed....
Alisema anatumia kisoma screen yani App yenye uwezo wa kutamka herufi ukiigusa. Akipapasa screen akaigusa A, kisoma screen kinatoa sauti inatamka hiyo A na yeye anagusa tena hapo ndio herufi inaandikwa.
 
Inasikitisha sana, ivi sheria inasemaje kuhusu hili suala la ajira kwa walemavu hata kama haifuatwi.

Hili kundi haitakiwi kusahaulika kiasi hiki hata kama mambo mengi makubwa yanatekelezwa
Sheria ya watu wenye ulemavu sura ya 183 imeweka masharti mazuri sana kwa waajiri,pia sheria ya Utumishi wa umma na ile kanuni (gn 326/2021) zimeweka mazingira mazuri sana kwao.Tatizo: wachache sana wanaomba kazi au wanapata minimum qualifications.Kuna part yao waicheze vizuri kwanza.
 
Tuna tatizo sana na kufuata sheria nchi hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…