Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwahiyo kwa maelezo yako mtumishi wa serikali yupo mahali alipo kwa ajili ya kujipatia kipato tu na si kutoa huduma kwa umma?
Amini amini nakuambia , wapo watumishi wa umma wazalendo wanaofanya kazi kama ibada na kujitolea na wala hawawazi posho na mshahara.
Amini amini nakuambia , wapo watumishi wa umma wazalendo wanaofanya kazi kama ibada na kujitolea na wala hawawazi posho na mshahara.