Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Mpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Uzi tayari π π π
Wenzako wamekesha wa damu damu
Ingia jambo tv
BEFORE:Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Majambazi yameuiba uchaguzi Kwa Rushwa.
BEFORE:
View attachment 3209580
---
AFTER
View attachment 3209581
Tuvute subira kidogo. Mchakato unaekea ukingoni.
Kama Lissu ameshinda ni jambo jema
Halafu unataka maisha boraMpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Kukesha napo kipaji.
Mimi ninahekaheka nyingi mchana, ikifikaga tuu saa moja usiku nakuwa sinaga ujanja. Hoi!
Uzi tayari π
Tangaza matokeoRudi kalale
kwahiyo ndoto yako inatufundisha kwamba tukiamka tu cha kwanza ni Kumshukuru Mungu kisha mengine yafuate,Mpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Kweli hujafanyo lolote, kushika tu simu ni kufanya lolote.Hata sijafanya lolote!
Halafu unataka maisha bora
Wewe ulale, wengine wakuhangaikie na kuja kujieleza kwako
Crap
kwahiyo ndoto yako inatufundisha kwamba tukiamka tu cha kwanza ni Kumshukuru Mungu kisha mengine yafuate,
vinginevyo utajikuta unajipotosha mwenyewe kwa fefheha ya kiwango cha juu sana π