ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Na wanaogopa sana Lissu kushinda kwasabb wanajua watapata usumbufu mkubwa.Atashinda tuu ingawaje system ni wazi haitaki hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaogopa sana Lissu kushinda kwasabb wanajua watapata usumbufu mkubwa.Atashinda tuu ingawaje system ni wazi haitaki hilo
Kweli hujafanyo lolote, kushika tu simu ni kufanya lolote.
Unaomba simu?kivipi uombe simu yako broMpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Na wanaogopa sana Lissu kushinda kwasabb wanajua watapata usumbufu mkubwa.
Unaomba simu?kivipi uombe simu yako bro
Hilo ni boga halina msimamo ya kauli zake ni kama sun flower inafuata jua linapotokea.Najua unakihoro baada ya Mbowe kushindwa
Nani anaongoza mkuuMajambazi yameuiba uchaguzi Kwa Rushwa.
Ccm ndio hawawezi hayo.Mama hataki kelele na hekaheka.
Kupelekana ndani kila siku nayo inachosha
Hata Leo nimekeshaMmmh!
😂😂😂
Kwamba wewe ulikesha ili wakuhangaikie?
Kwako inakuhitaji ufanye masaa mangapi kwa siku ili uwe na maisha Bora?
Kwangu masaa ya mchana yanatosha tuu
Unataka kuniambia odero ana 1% haiwezekaniMpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Maajabu sana, uchaguzi wajube ht 1500 hawafiki lakini siku ya pili wanahangaika, hivi hawa ukiwapa wapiga kura 5000 itakuwaje
umekurupuka kwa kuamka na kipepo cha kujipotosha na kujifariji kinyonge sana aise gentleman, dah!🐒Najua unakihoro baada ya Mbowe kushindwa
Wototo wa 2000😁😁Huwezi nielewa.
Hata Leo nimekesha
Hebu nieleweshe mzee😂😂 bado unashikiwa simu na mkeo?Huwezi nielewa.
umekurupuka kwa kuamka na kipepo cha kujipotosha na kujifariji kinyonge sana aise gentleman, dah!🐒
Hebu nieleweshe mzee😂😂 bado unashikiwa simu na mkeo?
Tulia kaka kura zinahesabiwa moja moja kama biashara ya samakiMpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya