Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia kaka kura zinahesabiwa moja moja kama biashara ya samaki
Tuacheni ramli chonganishiNimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Unataka kuniambia odero ana 1% haiwezekani
Ni kweli hiki unachokisema?Mpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Kupoteza mda hiyo sio bahari mbaya ni mkakati uliopangwa , kama mbowe akishinda chadema imekufaErythrocyte embu elezea hili.
Kwingine wameenda vizuri lakini Moja ya mapungufu yaliyojitokeza ni hili la kupoteza Muda
Tuacheni ramli chonganishi
Ni kweli hiki unachokisema?
Mchakato wa kidemokrasia huu ni tofauti na yale mambo ya Dodoma juzi.Mpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Nmeelewa mkuuNafikiri hujaelewa
Kupoteza mda hiyo sio bahari mbaya ni mkakati uliopangwa , kama mbowe akishinda chadema imekufa
Na CCM wamefungua Chuo cha betting pale mtoni kwa Azizi Ally. Sawa NduguBet siku hizi ni biashara kubwa Mkuu
Mchakato wa kidemokrasia huu ni tofauti na yale mambo ya Dodoma juzi.
Na CCM wamefungua Chuo cha betting pale mtoni kwa Azizi Ally. Sawa Ndugu
Nmeelewa mkuu
Hahahaha πKina Baba Levo ndio Wahadhiri au?
Kwa hiyo umeanzisha uzi ambao sisi hatukuelewi sio?Huwezi nielewa.
Makamanda wanazingua sana, kumbe Magu alikuwa sahihi kuwapelekea moto ili akili Yao ijiseti.