Haiwezekani ndio naamka mniambie bado matokeo hayajatoka. CHADEMA ndio nini hiki

Haiwezekani ndio naamka mniambie bado matokeo hayajatoka. CHADEMA ndio nini hiki

Mpo salama!

Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!

Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.

Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!

Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!

Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47

Haya
Ni kweli hiki unachokisema?
 
Mpo salama!

Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!

Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.

Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!

Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!

Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47

Haya
Mchakato wa kidemokrasia huu ni tofauti na yale mambo ya Dodoma juzi.
 
Makamanda wanazingua sana, kumbe Magu alikuwa sahihi kuwapelekea moto ili akili Yao ijiseti.
 
Makamanda wanazingua sana, kumbe Magu alikuwa sahihi kuwapelekea moto ili akili Yao ijiseti.

Kuwapelekea Moto ni sahihi
Lakini aina ya Moto hapo ndio itaamua usahihi

Kuteka
Kuua
Kubambikia Kesi
Vitisho
Matumizi ya nguvu
Hiyo kwa Sisi Watibeli ni Big No.

Labda kwa maadui wa nchi
 
Back
Top Bottom