Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #81
naelekea ukumbini kushuhudia tukio la kihistoria live 🐒
Ngoja na Mimi nitakuwa maeneo hayo mida ya saa mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naelekea ukumbini kushuhudia tukio la kihistoria live 🐒
muhimu zaidi kua sehemu ya mashuhuda ya historia za kidemokrasia zikiandikwa 🐒Ngoja na Mimi nitakuwa maeneo hayo mida ya saa mbili
Babà mwenyenyumba aombe simu?mimi yangu inakaa hapo pembeni ya bed side ikichajika na ya mama watoto.
Sababu silali ukutani nikiitaka nanyoisha mkono tuu kuichukua.
TAL kapigwa TKO haah
Hakuna kuhama chama kazi ipo leoHaaa
ni
muhimu zaidi kua sehemu ya mashuhuda ya historia za kidemokrasia zikiandikwa 🐒
Wahi ukumbiniMpo salama!
Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!
Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.
Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!
Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!
Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Haya
Bon YAI hoi kabisa
hakuna kazi ngumu kama kuhesabu kura mojamoja na kwakila box la wagombea vumilieniMaajabu sana, uchaguzi wajube ht 1500 hawafiki lakini siku ya pili wanahangaika, hivi hawa ukiwapa wapiga kura 5000 itakuwaje
historia ya kudhibiti vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kujipenyeza kwenye mifomo ya kidemokrasia 🐒Historia gani hapo
Hakuna kuhama chama kazi ipo leo
historia ya kudhibiti vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kujipenyeza kwenye mifomo ya kidemokrasia 🐒
Kulala ni jambo la kawaida sio ajabu mkuu.Nasikia watu wanalala huko Mlimani City
Tundu wenu katunguliwa hivi bila shaka. Angejua wajumbe si binadamu!Kuna dalili mbaya.
Siendi
Unalala saa 3 unusu kama paka