Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni mtaji wetu nchi hii
Kaa kwa kutulia kama moja.
Azimio la Dodoma January 19/20 halijaisha Mng'wasi Kitoko bado anaendelea na kazi yake ya kutembea na majinaNimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47
Nipo shambaniLucas Mwashambwa upo nae au yeye kabaki jimboni?
Azimio la Dodoma January 19/20 halijaisha Mng'wasi Kitoko bado anaendelea na kazi yake ya kutembea na majina
Mbowe ni muhimu kwa wafanyabiashara na watu ambao tayari Wana msingi ambao kwenye nchi ni asilimia 5% tuu.
Wakati Lisu ni wale wa mfumo wa jpm ingawaje yeye atatumia zaidi Sheria
Ndio ushaelewa nimemaanisha nini Mwasi Kitoko sio poaDodoma wao hawataki kusikia habari za Lisu.
Mama hataki purukushani na hekaheka.
Ndio ushaelewa nimemaanisha nini Mwasi Kitoko sio poa
Upo na Mwasi Kitoko?Nipo shambani
Utakuwa ni mtu wa ajabu sanaWakuu habari
Nisiongee sana sijalala tangu jana kura za wajumbe 1200 tu zimeifanya Chadema imekesha.
Walishindwa kupanga ratiba nzuri ya matukio katka jambo lao muhimu kama hili wakamaliza mapema nadhani hata wakipewa nchi wataharibu tu.
Kupiga kura na kuhesabu kura na hata kama kuna kunadi wagombea huwezi kutumia Zaidi ya masaa 14, kiufupi hawa viongozi ni wajinga na wapumbavu.
Mwasi Kitoko mbungu viti maalumu mwanza ambae ukiingia kwenye cv yake kaficha namba simuMwasi kitoko ni pombe gani hiyo?
Nchi yetu na siasa zetu hazitaki watu kama Lissu, huo ndio ukweli ingawa mchungu sana kuukubali, matokeo yatakushangaza sana, nchi hii ngumu mitandao isikudanganye
Mwasi Kitoko mbungu viti maalumu mwanza ambae ukiingia kwenye cv yake kaficha namba simu
Kwa mara ya kwanza nimeamka tu na kushika simu 🥲
CDM mnatuhenyesha!
Mwasi KitokoSawasawa
Sijambo Tibeli…Sijui wewe.Hujambo Mrembo
Mwasi KitokoSijambo Tibeli…Sijui wewe.
Tukishinda tunasherehekea wapi?
Sijambo Tibeli…Sijui wewe.
Tukishinda tunasherehekea wapi?