Haiwezekani ndio naamka mniambie bado matokeo hayajatoka. CHADEMA ndio nini hiki

Haiwezekani ndio naamka mniambie bado matokeo hayajatoka. CHADEMA ndio nini hiki

Mpo salama!

Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!

Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.

Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!

Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!

Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47

Haya
Hakika
 
Mchakato bado unaendelea kuhesabu. Kuhesabu inatakiwa usiwe na papara kuna application of Quadratic, Arithmetic, Fractions and Decimals, Probability, Algebra, Geometry, Trigonometry, Calculus, Number theory, Ratios and rates, Statistics, Sequence and Series, Exponentials and Logarithms and finally but not least National Interest lazima zote zitumike tumpate Mwenyekiti Mbowe..!!
 
Mpo salama!

Nimeamka zangu!
Hata sijaomba!
Hata sijaenda washroom!
Hata sijafanya lolote!

Jambo la Kwanza naomba Simu niangalie nini kimejiri huku CHADEMA. Kumbuka Mimi ratiba yangu ya Kulala ni saa tatu unusu.

Nilitegemea Kupata matokeo, nashangaa bado!
Hii ni nini Aiseeh!

Yaani Kura za watu wasiofiks elfu mbili ndio zitumie siku nzima.
Hapana aiseeh!

Nimepewa taarifa Lisu ameshinda kwa asilimia 52
Mbowe 47

Haya
Hatukurupuki hatuna haraka tunafanya kitu ambacho kitaamua hatima ya Tanganyika na kuwa mfano wa kuigwa na wengine na kuweka kumbukumbu isiyofutika
 
Mchakato bado unaendelea kuhesabu. Maths kuna application of Quadratic, Arithmetic, Fractions and Decimals, Probability, Algebra, Geometry, Trigonometry, Calculus, Number theory, Ratios and rates, Statistice, Sequence and Series, Exponentials and Logarithms and finally but not least National Interest lazima zote zitumike tumpate Mwenyekiti Mbowe..!!

Mkuu mambo ya mathematics achana nayo
Mbowe hawezi kushinda
 
Hatukurupuki hatuna haraka tunafanya kitu ambacho kitaamua hatima ya Tanganyika na kuwa mfano wa kuigwa na wengine na kuweka kumbukumbu isiyofutika
Freeman Aikaeli Mbowe anaweza kupata kura zaidi ya mia7, my friends ladies and gentlemen.
Ni historia mpya Chadema 🐒
 
Wakuu habari

Nisiongee sana sijalala tangu jana kura za wajumbe 1200 tu zimeifanya Chadema imekesha.

Walishindwa kupanga ratiba nzuri ya matukio katka jambo lao muhimu kama hili wakamaliza mapema nadhani hata wakipewa nchi wataharibu tu.

Kupiga kura na kuhesabu kura na hata kama kuna kunadi wagombea huwezi kutumia Zaidi ya masaa 14, kiufupi hawa viongozi ni wajinga na wapumbavu.
 
Back
Top Bottom