Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Faini Ni moja pia ya vyanzo vya mapato vya TFF . Kwa hiyo nayo inaingia kwenye fuko lile lile.
 
Sijui walimwachaje alipowatuhumu Simba kutaka kuwadhuru wageni yaan pale wangemfungia maisha
 
Wangetangaza Ijumaa kutoa muda mzuri kusheherekea weekend
 

SABABU YA MANARA KUFUNGIWA

Kamati ya maadili imetaja baadhi ya maneno ambayo Msemaji wa Yanga Haji Manara aliyazungumza mbele ya Rais wa Tff Wallace Karia.

“Wewe unanifatafata sana, hii ni mara ya tatu, sikuogopi kwa lolote,kwa chochote na huwezi kunifanya chochote. Nina uwezo wa kukufanya chochote na huna cha kunifanya.”

#yangasc #michezo #kingsfmradio #jisikiemfalme #hajisManara #Manara #sportsupdates #sportskachumbari #ligikuubara
 
Hukumu hatoi Karia. Ila ukumbuke Haji ana vimeo vingi hapo TFF,alishaadhibiwa mara kadhaa akiwa Simba,kwa hiyo ni mkosaji mzoefu hoja ambayo inakuwa na mashiko kwenye kutoa hukumu. Lakini pia ni blessings in disguise,wamewaondoleeni hicho kirusi, ngoja akauze magodoro. Anarudishwa Nugaz.
 
Jamaa huwa anajifanya anajua kila kitu. Ana haki kumtukana kila mtu, ila yeye usimseme (yaliyomkuta Jerry Muro)
 
faini wanayopigwa vilabu na wachezaji huwa inaenda wapi,si inaenda huko huko TFF,sasa manara kumtukana Karia tena uwanjani ni kama kuitukana taasisi kabda ingekuwa nje ya kiwanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…