[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa watashindana kukata rufaa tyuuh.Naskia kila upande unaruhusiwa kukata rufaa
Haji manara anaruhusiwa kukata rufaa kama hajaridhishwa na maamuzi ya kamati
Lakini pia TFF nao wanaruhusiwa kukata rufaa ikiwa hawajaridhishwa na adhabu ya miaka miwili endapo kama wataona uzito wa kosa ulihitaji adhabu ya miaka 10 au maisha plus faini ya zaidi ya 20M ambayo imeamuliwa leo
huyu Chawa wa GSM ilikuwa lazima apasuke Bumbuli apate kufanya kazi bila shobo za jamaa.Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Kicheko cha Bumbuli chooni, polenii sana wanajangwani, kwa hiyo hatatambulisha wachezaji siku ya mwananchi?
Hii kamati mbona huwa inakuja na adhabu ambazo hazina lengo la kumfunza mtu bali kumkomoa. Kazi anayofanya ni kazi ya mkataba, unapomfungia means atatafutwa mbadala wake na atalipwa kiasi ambacho angelipwa anayetoka. Bado tena alipe milioni 20 kutoka wapi wakati mmemzuia asifanye kazi inayomuingizia kipato ? Huyu mtu pia ana watu wanaomtegemea, anaendeshaje maisha bila kazi ?Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20
Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Wivu wa ukame wa makombe,pale mwituni Kwa Wana 🦁Lunyasi inahusika vipi hapa??? Pambaneni kivyenu.
Hatuhitaji mtuhusishe kwenye vagaa lenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unasemaje mwana🦁Alizidi kuropoka hovyo
Ahsanteeeeee!!!Alizidi kuropoka hovyo
Haya kamsaidie Adhabu huko Takadini, usiniletee mie maumivu yako. Poleeeeeeh.Wivu wa ukame wa makombe,pale mwituni Kwa Wana [emoji881]
Huo ni wivu wa Wana🦁wa kazuramimba,msimbazi na hata wanamikia wa mwituni 🏃🏃Kwa hyo we wa kutoka kazulamimba unayakataa maamuzi ya kamati?
Huna ulijualo kuhusu mpira...endelea kuish kwa shemej yako hapo ukiwalea ma uncleHuo ni wivu wa Wana🦁wa kazuramimba,msimbazi na hata wanamikia wa mwituni 🏃🏃
Mabingwa tunaenda kupindua meza kama kawa🚶Haya kamsaidie Adhabu huko Takadini, usiniletee mie maumivu yako. Poleeeeeeh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁😁😁😁Kumekuchaaaaaaaaaaaaaah!!!!!!
Byuti byuti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2298507
Manara kazaliwa Yanga bwana, mara hii unamkataa!?Acha apumzike kidogo makelele yamezidi,akimaliza kifungo arudi kwao huko huko Kwa Mikia wenzie
Huyo SI mwenzio hata ukimwonea wivu,kumbuka yupo Sasa Kwa mabingwa wa kihishoria🤔Akawe tu dalali was viwanja...