Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Naskia kila upande unaruhusiwa kukata rufaa

Haji manara anaruhusiwa kukata rufaa kama hajaridhishwa na maamuzi ya kamati

Lakini pia TFF nao wanaruhusiwa kukata rufaa ikiwa hawajaridhishwa na adhabu ya miaka miwili endapo kama wataona uzito wa kosa ulihitaji adhabu ya miaka 10 au maisha plus faini ya zaidi ya 20M ambayo imeamuliwa leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa watashindana kukata rufaa tyuuh.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha

Kicheko cha Bumbuli chooni, polenii sana wanajangwani, kwa hiyo hatatambulisha wachezaji siku ya mwananchi?
huyu Chawa wa GSM ilikuwa lazima apasuke Bumbuli apate kufanya kazi bila shobo za jamaa.
 
Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20

Manara amekumbwa na adhabu hiyo kutokana na sakata lake na Mwenyekiti wa TFF
View attachment 2298517
====

Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemfungia Msemaji Klabu ya Yanga, Haji Manara kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh. milioni 20

Amekutwa na hati kwa makosa ya kumvunjia heshima Rais wa TFF, Wallace Karia kwenye fainali ya ASFC kati ya Yanga na Coastal Jijini Arusha
View attachment 2298509
Hii kamati mbona huwa inakuja na adhabu ambazo hazina lengo la kumfunza mtu bali kumkomoa. Kazi anayofanya ni kazi ya mkataba, unapomfungia means atatafutwa mbadala wake na atalipwa kiasi ambacho angelipwa anayetoka. Bado tena alipe milioni 20 kutoka wapi wakati mmemzuia asifanye kazi inayomuingizia kipato ? Huyu mtu pia ana watu wanaomtegemea, anaendeshaje maisha bila kazi ?
 
Lunyasi inahusika vipi hapa??? Pambaneni kivyenu.
Hatuhitaji mtuhusishe kwenye vagaa lenu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu wa ukame wa makombe,pale mwituni Kwa Wana 🦁
 
Wivu wa ukame wa makombe,pale mwituni Kwa Wana [emoji881]
Haya kamsaidie Adhabu huko Takadini, usiniletee mie maumivu yako. Poleeeeeeh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari nzuri sana hii, maana huyu jamaa alikuwa anajiona mkubwa sana kuliko hata taasisi za football
 
Back
Top Bottom