Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh kwa Maumivuuu.Mabingwa tunaenda kupindua meza kama kawa[emoji124]
Msimlipie mpka awe mwekunduWanayanga tuungane tumlipie Manara hii faini aliyotozwa na TFF!
Manara amekuwa mtu mwenye mapenzi mema na timu yetu ametutetea sana, na hata hiki kifungo alichopata ni kwa sababu ya mapenzi yake mema na Club yetu!
Hivyo tupitishe bakuli ndani ya siku chache million 20 tunapata, inalipwa!
Wengine nadhani wana wazo la kukata rufaa, sishauri rufaa kwa sababu ni bora apumzike tu ili akitoka kwenye kifungo awe na adabu pia!
Ila wanayanga tumsuport kwa kumlipia faini kama kumuonyesha fadhila, na pia tuwaombe wanasimba waliokuwa wakimpenda watusaidie katika hili!
Nawasilisha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akawe tu dalali was viwanja...
Ina maana ule msamaha ulikataliwa ?...Yanga ni vyema wamkatie rufaa muhamasishaji wao.Msemaji wa Yanga, Haji Manara amefungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa muda wa miaka 2 na kupigwa faini ya Tsh milioni 20
Wewe mpenzi wa SimbaWangemfungia maisha kabisa huyo mpuuzi….!!!!
Japo atakata rufaa ila itupiliwe mbali!!!
Keshazimia huko kwa taarifa za ndani kabisa!
Bumbuli ni Afisa habari,Ngoja kwanza.. Kati ya Bumbuli na Manara nani afisa habari wa Yanga?
Sasa povu lote la nini mwana Lunyasi🦁.pata angalao gilasi ya maji urudishe maji yaliyopotea Kwa povu Hilo 🤸Huna ulijualo kuhusu mpira...endelea kuish kwa shemej yako hapo ukiwalea ma uncle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za ndaaaaaaaaaaani kabisa inasemekana Manara kapewa nafasi ya mwisho ya kulisifia goli la Sakho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kifungo tu alichopewa kimepunguzwa na hiyo faini kubwa aliyopigwa. Ingekuwa faini Kama ile ya Dauda bila shaka angechezea sio chini ya miaka 5.Baada ya wiki moja wanataengua adhabu hiyo baada ya Mhandisi kupenyeza rupia kwa watoa adhabu!!!
Za ndaaaaaaaaaaani kabisa inasemekana Manara kapewa nafasi ya mwisho ya kulisifia goli la Sakho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna povu lolote..ni vile hapo utopolon hamjui sheria za FIFA...sasa unaona ulichouliza hapo juu ni kitu anachouliza mtu anaejua mpira kwel?au tangazo hujalisoma umekimbilia tu ku comment?Sasa povu lote la nini mwana Lunyasi🦁.pata angalao gilasi ya maji urudishe maji yaliyopotea Kwa povu Hilo 🤸
sisi utopolo kashatuita "hatuna akili eti baba yake na JK ndio wenye akili pekee hata utopoloni kwetu". Na sisi hatumtaki, kama gsm anampenda, akamuajiri ofisini kwake kuuza magodoro.Sisi makolo huyu hatumtaki, tuna concistence sio kama nyie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] duhhhhZa ndaaani kabisa Bumbuli ndiye alimroga ili afanye kosa lile kwani Haji Manara mwenyewe anasema hata hajui nini kilitokea siku ile. Hassan Bumbuli Mungu anakuona.