Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Haji Manara afungiwa kujihusisha na mpira ndani na nje ya nchi kwa Miaka 2. Atakiwa pia kulipa faini Tsh milioni 20

Mabingwa tunaenda kupindua meza kama kawa[emoji124]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh kwa Maumivuuu.
Miaka 2 ya kuteseka na kuhaha, chunga usijiue tyuuh.
 
Wanayanga tuungane tumlipie Manara hii faini aliyotozwa na TFF!
Manara amekuwa mtu mwenye mapenzi mema na timu yetu ametutetea sana, na hata hiki kifungo alichopata ni kwa sababu ya mapenzi yake mema na Club yetu!
Hivyo tupitishe bakuli ndani ya siku chache million 20 tunapata, inalipwa!
Wengine nadhani wana wazo la kukata rufaa, sishauri rufaa kwa sababu ni bora apumzike tu ili akitoka kwenye kifungo awe na adabu pia!
Ila wanayanga tumsuport kwa kumlipia faini kama kumuonyesha fadhila, na pia tuwaombe wanasimba waliokuwa wakimpenda watusaidie katika hili!
Nawasilisha!
Msimlipie mpka awe mwekundu
 
Ngoja kwanza.. Kati ya Bumbuli na Manara nani afisa habari wa Yanga?
 
Haji Manara aliwaita kina Hersi akadhani watakuwa na msaada wowote akaenda mbali mpaka kutumia connection ya viongozi wa serikali watumie influece yao ku solve msala lakini haikusaidia

Hapo ndio nakumbuka verse ya dizasta

Hiyo itafanya ukonde na kuanza, kutumia pombe na ganja..../

Nayajua haya yote kwa maana ndo nilikotoka, utasimama kijasiri na mwisho utadondoka.../

Skiza wataleta daktari akuulize nini shida, hawata pata jawabu kabisa.../

Wataleta sheikh wataleta mchungaji wa kanisa, watasahau kuwa moyo uliovunjika hauna tiba.../
 
Baada ya wiki moja wanataengua adhabu hiyo baada ya Mhandisi kupenyeza rupia kwa watoa adhabu!!!
Hicho kifungo tu alichopewa kimepunguzwa na hiyo faini kubwa aliyopigwa. Ingekuwa faini Kama ile ya Dauda bila shaka angechezea sio chini ya miaka 5.
 
Sasa povu lote la nini mwana Lunyasi🦁.pata angalao gilasi ya maji urudishe maji yaliyopotea Kwa povu Hilo 🤸
Hamna povu lolote..ni vile hapo utopolon hamjui sheria za FIFA...sasa unaona ulichouliza hapo juu ni kitu anachouliza mtu anaejua mpira kwel?au tangazo hujalisoma umekimbilia tu ku comment?
 
Sisi makolo huyu hatumtaki, tuna concistence sio kama nyie
sisi utopolo kashatuita "hatuna akili eti baba yake na JK ndio wenye akili pekee hata utopoloni kwetu". Na sisi hatumtaki, kama gsm anampenda, akamuajiri ofisini kwake kuuza magodoro.
 
IMG-20220721-WA0236.jpg
 
Back
Top Bottom