Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Hakika hiki ni kichekesho cha mwaka, hata yule mzee "wamiatisa inalipa" kafunikwa.

We ulishaona wapi shabiki wa timu ya mpira akahama timu, tena nakuhamia timu pinzani?
Kiufupi mpira wa bongo utabaki hapo hapo ulipo miaka zaidi ya 20 mbele.
 
Kufanya kazi club nyingine hakuthibitishi usaliti wake, hata wachezaji huhama team, hata makocha pia huhama team, mbona ni jambo la kawaida tuu hilo.
Lakini sio shabiki.
Shabiki ndie mwenye timu, Shabiki haami timu, sababu mapenzi ya timu ya mpira ni tofauti na mapenzi ya chama cha siasa.

Vichekesho aina hiyo Dunia mzima vinapatikana Bongo tu.
 
Lakini sio shabiki.
Shabiki ndie mwenye timu, Shabiki haami timu, sababu mapenzi ya timu ya mpira ni tofauti na mapenzi ya chama cha siasa.

Vichekesho aina hiyo Dunia mzima vinapatikana Bongo tu.
Nakubaliana na wewe,ushabiki wa team hauwezi kubadilika,huwezi kuhama team,But Manara anaweza kufanya kazi Yanga ila mapenzi yake yakawa kwa Simba,yeye ndiye anajua siri yake ya ndani.
 
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga

======

Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea

"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.

“Baada ya kutangaza kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”

Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

View attachment 1907058
Kumbe ndo maana alitaka kuvuruga Simba ndo aondoke akashtukiwa.Nenda Manara, nenda Manara, Nenda Simba wapumue
 
Shabiki wa Kweli wa Simba hawezi kuhamia Yanga na Vice Versa..., labda kama amehamia kimaslahi na sio kimapenzi...,
 
Hii nchi hii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_20210825-191912.jpg
 
Back
Top Bottom