Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Muacheni afanye yake ,Msemaji ni kazi ,kwahiyo ana haki kufanya kazi sehemu yeyote ,wakati alipokuwa simba ulitaka aisifie yanga? Yaani kwamfano wewe unafanya kazi Serengeti then usifie windhoek? Unafanya kazi bongo records kisha usifie mj records au tongwe? unafanya kazi tigo uje kusifia voda? Unafanya kazi Crdb uje kusifia nmb?
 
Naona baada ya kishindo cha jana wengi mnaandika na comments za hasira na chuki mbaya jamani haya ni maisha na tukumbuke waswahili walisema leo kwangu kesho kwako na kutesa kwazamu.

Nawashauri hebu tulieni tungojee hiyo surprise ya mwisho hapo jumapili hapo ndio turudi ubaoni kuchambua.

Hebu kuweni watulivu simnajua ndio wakati sasa mnaanza kupitia kipindi kigumu.
 
Vipi mkuu,, umeaminiii?[emoji38][emoji38]
Mzimu wa Kolelo
.
giphy.gif
 
Manara anaipenda sana kazi ya Usemaji wa timu.
Mwacheni afanye kazi yake.
Kama kuhama mbona Senzo alihama.
Babra Gozales naye ana Uyanga yanga sana na kunasiku atahamia huko.
 
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga

======

Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea

"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.

“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”

Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

View attachment 1906602
Huu ujinga tulio ufanya Yanga utatugharim sana Yanga,kwani huwezi mwajiri mtu anayeshindwa kuhifadhi siri za taasisi aliyo ifanyia kazi kwani kaeni mkijua kila taasisi ina udhaifu wake.

Najua tulifurahia sana alivyo wavua nguo Simba so kwa ujinga huu tulio ufanya kesho tujiandae na sisi kuvuliwa nguo.
 
Naona baada ya kishindo cha jana wengi mnaandika na comments za hasira na chuki mbaya jamani haya ni maisha na tukumbuke waswahili walisema leo kwangu kesho kwako na kutesa kwazamu
Nawashauri hebu tulieni tungojee hiyo surprise ya mwisho hapo jumapili hapo ndio turudi ubaoni kuchambua
Hebu kuweni watulivu simnajua ndio wakati sasa mnaanza kupitia kipindi kigumu.
Uliyeumia labda ni Wewe tu na Wapuuzi Wenzako huko Yanga SC kwani wenye Akili Kubwa na zilizobarikiwa na Mwenyezi Mungu tulishamshtukia na kumkataa Kitambo sana Haji Manara na ndiyo maana alipoondolewa tulifurahi na Kuushukuru Uongozi.

Mmepokea Zigo la Mavi livumilieni tu!!!!
 
Yaani Mwanamke umuache mwenyewe halafu aolewe na mwanaume mwingine ww uchukie c ujinga?..nyie mchukueni sisi tulishatimua hiyo Pampers
 
Muacheni afanye yake ,Msemaji ni kazi ,kwahiyo ana haki kufanya kazi sehemu yeyote ,wakati alipokuwa simba ulitaka aisifie yanga? Yaani kwamfano wewe unafanya kazi Serengeti then usifie windhoek? Unafanya kazi bongo records kisha usifie mj records au tongwe? unafanya kazi tigo uje kusifia voda? Unafanya kazi Crdb uje kusifia nmb?
Umenena vema
 
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga

======

Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea

"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.

“Baada ya kutangaza kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”

Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

View attachment 1907058
Screenshot_20210825-061921.jpg
 
Back
Top Bottom