Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Haji Manara ahamia Yanga SC yeye na familia yake

Le
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga

======

Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea

"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.

“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”

Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

View attachment 1906602
leo kavaa liramani eeh
 
Hamna maajabu, ana haki ya kutafuta kazi popote pale kwenye riziki ya halali, tumtakie kila la kheri
Mbona wachezaji tunaowashabikia huwa wanahama timu zao pendwa kwenda timu zingine?

Manara aende popote tu maana tumbo(masilahi) kwanza, mengine baadaye.
 
Nashangaa comment za watu, kwemye maisha tafuta pesa kwa nguvu zote, tafuta utajiri kwa nguvu zote, kwa ajili yako na familia yako. Haya mengine ni upumbavuh tu.. ufe kwa ajili ya kuwa simba au yanga? Kwamba ukiwa simba usifanye kazi yanga au ukiwa yanga usifanye kazi simba..ni ujinga..mwaga mihela mezani watu wapige pesa.

NB: Nasikia Luis nae kutangazwa.
Mambo
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga

======

Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea

"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.

“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”

Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

View attachment 1906602
Mambo ya CCM na CHADEMA hayo
 
Nimemsikia Haji maneno yake wakati anakaribishwa,kwanza yameonyesha yeye hana mapenzi na Yanga kafata pesa,pili kaonyesha kuwa yeye ni mkubwa pale Yanga kwa masaa machache tu aliyotambulishwa.huyu atawavuruga tu pale,na kasema wazi hana tatizo na Simba,muda utaongea.
Klabu ni zaidi ya Mtu, ninyi mbumbumbu mbona mna matatizo sana?
 
Back
Top Bottom