change formula
JF-Expert Member
- Sep 8, 2020
- 729
- 1,559
Amerudi kushabikia au kufanya kazi na kulipwa na gsmHaji Manara amerudi kushabikia timu ya baba zake!
Ni ajabu na kweli!
Imetangazwa na Senzo muda huu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amerudi kushabikia au kufanya kazi na kulipwa na gsmHaji Manara amerudi kushabikia timu ya baba zake!
Ni ajabu na kweli!
Imetangazwa na Senzo muda huu!
leo kavaa liramani eehWanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga
======
Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea
"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”
Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba
View attachment 1906602
ko
Hata wiki mbili hazijaisha tayari kashaonyesha ujinga wake.Kumbe Simba walikuwa sahihi kumshuku kabisaaaaaa juu ya kuhujumiwa na huyu bwana
Kazi iendeleee,tunajifunza nini hili la haji Manara leo kuingia Yanga
Mbona wachezaji tunaowashabikia huwa wanahama timu zao pendwa kwenda timu zingine?Hamna maajabu, ana haki ya kutafuta kazi popote pale kwenye riziki ya halali, tumtakie kila la kheri
Tabu ya nini? Nakuchana liveHahahaaaa....... Utapata tabu sana!
Hakika, Mess na Neymar pia ni Wasaliti wakubwa [emoji847][emoji1787]Mesi na Neymer mbona siwaelewi, likizo haiishi
MamboNashangaa comment za watu, kwemye maisha tafuta pesa kwa nguvu zote, tafuta utajiri kwa nguvu zote, kwa ajili yako na familia yako. Haya mengine ni upumbavuh tu.. ufe kwa ajili ya kuwa simba au yanga? Kwamba ukiwa simba usifanye kazi yanga au ukiwa yanga usifanye kazi simba..ni ujinga..mwaga mihela mezani watu wapige pesa.
NB: Nasikia Luis nae kutangazwa.
Mambo ya CCM na CHADEMA hayoWanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga
======
Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea
"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”
Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba
View attachment 1906602
Klabu ni zaidi ya Mtu, ninyi mbumbumbu mbona mna matatizo sana?Nimemsikia Haji maneno yake wakati anakaribishwa,kwanza yameonyesha yeye hana mapenzi na Yanga kafata pesa,pili kaonyesha kuwa yeye ni mkubwa pale Yanga kwa masaa machache tu aliyotambulishwa.huyu atawavuruga tu pale,na kasema wazi hana tatizo na Simba,muda utaongea.
M 9.8 eti ukomae tu na ujinga ujinga wa mahaba ya kufia tai shingoni ilihali familia yako inakufa kwa njaa, hata kama angekuwa Nani Manara yuko sahihi kwa 100%Kila La Heri Kwa Hadji Manara
Tulia Fanya Kazi Mengine Ni Pesa Tu Hitaji Kwa Kila Mtanzania
Shangaa hata wewe, na hapo bado hakumridhisha kila mbumbumbu wa makelele fc...[emoji1787]Sasa aache kazi kukuridhisha mikia
Manara ni mkubwa kuliko Yanga.Klabu ni zaidi ya Mtu, ninyi mbumbumbu mbona mna matatizo sana?
We Jaluo hilo povu lote la nini ikiwa Manara hakuhusu? pilipili usiyoila yakuwashia nini kama si kuchomwa kisu kwenye mfupa ni nini hasa?Wenye akili hii kauli tumeielewa...."reserve"
Utopolo ni kama wamekatwa vichwa hawasomi BTN the lines
Najua imewagusa sana lakini Jamaa ana familia na hana wa kuilea zaidi yake, mvumilieni apambane na utafutaji, hayo maneno hata kwenye kanga yapo.Manara ni mkubwa kuliko Yanga.
Yanga ni ndogo Manara ni mkubwa.