Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ilishamfukuza sasa ulitaka akae bila kazi?haya sasa tuliwaambia watu kua yule ni snitch mkabisha
Enhee yale manung'uniko yake kwenye zile clips akilia kua yeye ni simba damu na hanunuliki kwa thamani ya pesa yako wapi?
Kashauza mafaili yoote na jinsi tulivyokuwa tuna nunua matokeohaya sasa tuliwaambia watu kua yule ni snitch mkabisha
Enhee yale manung'uniko yake kwenye zile clips akilia kua yeye ni simba damu na hanunuliki kwa thamani ya pesa yako wapi?
Ukibadilisha ID name useme basiii...[emoji23]Nendeni naye taratibu..Itamchukua muda kuzoea Dada..
wakati huo huo Simba itakuwa inacheza uwanjani. Hata sasa Simba wapo pre season, Yanga wapo Serena kwenye press ya Manara[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] sasa kila siku atakuwa anazungumza mabaya ya viongozi wa simba .
Msaliti mkubwa huyu, waliokuwa wakimtetea leo wamemuone dhahiri anavyoonyesha usaliti wake.
Hili neno kaka limenichoma sana, vile ninavyokupenda basi tuuKaka angu nnalo basi. Tumeuachia uongozi kwa kuwa umemuona anafaa. [emoji853]
Umenena mkuu...Ofcoz alikuwa hana option achaneni na kitu kinaitwa NJAA nduguzangu hao pia atagombana nao then atasema anarudi ulipo moyo wake.
nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
tuone masihara mengiWeekend hii watakuwa dimbani, hivyo ondoa shaka
Wanaosikiliza Uhai FM muda huu, Nugaz anatamba huko kuwa Haji karudi kwao Yanga
======
Aliyekuwa Afisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara leo Agosti 24, 2021 amejiunga na klabu ya Yanga huku akitoa ahadi kushirikiana na yanga msimu mpya wa 2021/22 kuhakikisha Yanga inafikia malengo iliyojiwekea
"Nakwenda Yanga kwa sababu ina viongozi watakaonipa nafasi ya kuwasaidia, nilibanwa mno, nilidhihakiwa mno, sijawahi kuwa na matatizo na Simba.
“Baada ya kutanga kuondoka Simba nilipokea ofa kutoka klabu nyingi, Yanga walivyonitafuta nilishangaa sana, nikawauliza malengo yao ni yapi, nimejiunga na klabu yenye mipango ya kushinda makombe,”
Pia, soma=> Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba
View attachment 1906602
Nashangaa comment za watu, kwemye maisha tafuta pesa kwa nguvu zote, tafuta utajiri kwa nguvu zote, kwa ajili yako na familia yako. Haya mengine ni upumbavuh tu.. ufe kwa ajili ya kuwa simba au yanga? Kwamba ukiwa simba usifanye kazi yanga au ukiwa yanga usifanye kazi simba..ni ujinga..mwaga mihela mezani watu wapige pesa.
NB: Nasikia Luis nae kutangazwa.
Hahahaaaaa. Haya ni ya kwako Mtani.Ile kauli ya Wanawake kwa Wanawake hawapendani leo ndio nimeamini [emoji23][emoji23][emoji23]
Viongozi wamezingua kwa hiliNchi ngumu sana hii, pamoja na Uyanga wangu acha nicheke tu
Sisi Yanga Tumempokea VemaViongozi wamezingua kwa hili