Haji Manara alistahili kufukuzwa Simba kitambo

Haji Manara alistahili kufukuzwa Simba kitambo

Siku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Sasa kwani manara ni ngozi nyeusi...?
 
Kupitia kuropoka kwa haji manara ndo nimegundua umuhimu wa kile kiapo wanachosemaga viongozi wa serikali kwamba sitotoa siri za serikali kumbe kina mantiki kubwa sana na hapa haji inabidi ajiandae kuanguka kibiashara kwa promo zake kwani hakuna bosi atakaekuwa tayari kufanya nae kazi kwani anawaza kama ameweza kumzungumza mo kwa mabaya jee atashindwaje kunianika na mimi pindi tukishindwana
Kwani ilishindikana nini kuachana vizuri , kwa nini wameamua kuachana naye kwa kumzuria uongo na kwamba ni msaliti , harafu nyie mashabiki mnaumia nini wakati vita hivi haviwahusu ni kati ya Manara na wanaojiita mwe kezaji uchwara wa Chimba.
 
Exactly ndo alichokuwa anafanya hasa mechi za derby
Jamaa ni chizi tu yule, hana issue yeyote. Akaombe kazi ya kumbebea mwamvuli Diamond na kumpelekea kopo la maji ya kuchamba chooni.
 
Kwani ilishindikana nini kuachana vizuri , kwa nini wameamua kuachana naye kwa kumzuria uongo na kwamba ni msaliti , harafu nyie mashabiki mnaumia nini wakati vita hivi haviwahusu ni kati ya Manara na wanaojiita mwe kezaji uchwara wa Chimba.
Kwani uongo
 
Tuliwaambia tangu mwanzo, ila mlikuwa mnamshangilia na kumuona yupo vizuri,japo alikuwa anaongea ugoro tangu zamani
Sijawahi kumshabikia Manara hata siku moja kwanza sikuona umuhimu wake klabuni....hana any impact kwa wachezaji na hata wachezaji wenyewe walikuwa hawamkubali kwa kelele zake. Dogo alijifanya yeye ni zaidi ya Simba. Kwa kweli Mo inabidi amkamate na kumshitaki kwa kuitumikia Simba miaka yote hiyo wakati hana kigezo chochote. Mtu shule hana eti anataka alipwe mamilioni kila mwezi kwa ajili ya kupiga majungu tu. Aende Wasafi sasa wakamtafutie kipindi cha majungu redioni.
 
Manara hajazungumza kuwa target mashabiki ..
Kuna watu maalum kawa target..
Watu wenye nguvu ya kuamua..
Ukimuattack Mo automatically umeattack mashabiki na wapenzi wa Simba

Mashabiki na wapenzi wa Simba tunachotaka ndio kinatokea, makombe back to back, robo fainali club bingwa, wachezaji wa viwango vya juu e.g Peter Banda, pira biriani
 
Sijawahi kumshabikia Manara hata siku moja kwanza sikuona umuhimu wake klabuni....hana any impact kwa wachezaji na hata wachezaji wenyewe walikuwa hawamkubali kwa kelele zake. Dogo alijifanya yeye ni zaidi ya Simba. Kwa kweli Mo inabidi amkamate na kumshitaki kwa kuitumikia Simba miaka yote hiyo wakati hana kigezo chochote. Mtu shule hana eti anataka alipwe mamilioni kila mwezi kwa ajili ya kupiga majungu tu. Aende Wasafi sasa wakamtafutie kipindi cha majungu redioni.
Hakika
 
[*]Haji huyuhuyu anaelalamikia uongozi wa Simba, alikuwa analipwa 700k bila vyeti

[*]Manara huyuhuyu ambaye kabla ya Simba hakuwa maarufu shida zake kubwa zilitatuliwa na MO kifedha kama kijana wake

[*]Manara huyuhuyu aliwahi kumtusi maneno mazito na kumdharau CEO wa Simba kwasababu za uanamke wake

[*]Manara huyuhuyu aliyekuwa hajulikani na dunia alikuwa akidhaminiwa na club hata katika mambo yake binafsi.

[*]Manara huyuhuyu aliyebebwa na brand ya Simba, alipewa mkataba wa 3mil, usafiri na house allowance kibao akagoma kwa kutaka awe huru kufanya kazi za inje pia.

[*]Manara huyuhuyu anaelalamikia Simba alitumika kama dalali kuihujumu timu kwenye baadhi ya mechi za derby na ile ya Keizer chief south kwa kupenyeza mrungula kwa baadhi ya wachezaji wacheze chini ya kiwango

[*]Manara huyu ndiye aliyetengeneza mkataba wa kubumba (300mil) ili kumshinikiza Mo avunje mkataba kwa bei kubwa zaidi (janja janja).. Ndiyo maana hakutaka kumpa Mo aushike zaidi ya kumuonesha kama kitambulisho na kurudisha mfukoni

[*]Kiufupi Manara hana shukrani alifika mahali masikio yake yakazidi kichwa kilichoyabeba!

[*]Manara alijiona ni sehemu ya muwekezaji simba hivyo alitaka kugawana faida jambo ambalo halipo kwa wawekezaji duniani kote!

INASHANGAZA SANA MANARA KUUSHUTUMU UONGOZI ULIOMBEBA PAMOJA NA MAKANDO HAYO.

Hivyo Manara popote alipo asisomeke wala kufanya press kwa brand ya Simba!

Manara alivalishwa brand ya Simba, Manara kavuliwa brand ya Simba, Jina la Simba liendelee!
Hilo la kwanza hahaaaaaa....
 
Chori chori bachani! Tajiri iko wivu na chuki na chepuko yake, taka miliki simba pamoja hio View attachment 1881795
Tajiri mswahili ... Mambo gani haya ya kuyasema mtandaoni... Eti nani kalipia sign yako?[emoji23][emoji23]
Screenshot_20210806-194405.jpg


Ndo maana wachezaji imebidi wampost boss kwamba tupo upande wako usiogope! Njaa hizi [emoji23][emoji23]
 
Tajiri mswahili ... Mambo gani haya ya kuyasema mtandaoni... Eti nani kalipia sign yako?[emoji23][emoji23]View attachment 1883126

Ndo maana wachezaji imebidi wampost boss kwamba tupo upande wako usiogope! Njaa hizi [emoji23][emoji23]
Huyu ni miongoni mwa wale wachezaji aliowatumia manara alipoletewa mrungula kuihujumu timu kwenye mechi ya derby na keizer chief south
 
Siku ukifanya kazi kwa muhindi utaelewa alichokisema Manara. Kiufupi Mo ni tapeli. CAG akakague hesabu za simba. Yaliyomkuta Manara ni mambo ya wahindi. Wahindi wanapenda kudhurumu ngozi nyeusi.
Hivi Manara ni ngozi nyeusi?
 
Back
Top Bottom