Haji Manara amepata ajali usiku wa kuamkia leo

Haji Manara amepata ajali usiku wa kuamkia leo

Mkuu samahani, ni nini icho umekisema kwenye huu uzi wako?

taarifa ya ajali au manung'uniko?
 
Anaangukiwa Mungu pekee
Haji Manara amuangukie Mungu kwa salama yake
Bora aachane na Wazee Watatu ila huyo Mmoja wa Magomeni ( na ambaye anamjua mno ) amtafute akamuombe Radhi vinginevyo kuna Giza nene naliona linaweza kutanda muda si mrefu.
 
zopa mkuu futa hiyo comment yako haijakaa poa.
japo msukule ni msukule tu.
Simba nguvu moja.
Sasa hivi namchukia ile mbaya Haji Manara ila sijafikia hatua ya Kumuombea Kifo bali namuombea Maisha marefu duniani yenye Mateso mengi ya Kisaikolojia hasa kwa Mafanikio makubwa ya Uwanjani ambayo Simba SC inaenda kuyapata.

Na leo nasema hapa hapa Post yangu hii itunzeni kuwa Haji Manara huyu huyu ipo Siku atatuomba Msamaha wana Simba SC wote, Kukiri makosa na kuomba arejee kuwa nasi hata kama siyo kuwa sehemu ya Viongozi / Waandamizi.
 
Nilikuja na Uzi hapa Wiki iliyopita kuhusu kuambiwa Jambo na Wazee Wanne wa Klabu Moja juu ya Hasira yao Kali kwa Msukule mpya wa Jangwani ila wengi wenu kama kawaida mkanipuuza ila walichoniambia walikuwa wanakimaanisha na Kauli yao ya mwisho Kwangu ni kwamba ndani ya Siku Saba alitakiwa akaombe Msamaha na zikipita Wasilaumiwe na nadhani Kazi ndiyo wameshaianza hivyo.

Mkuu mambo mengine ata Kama uliambiwa bak nayo wewe maana mtu akija kupata madhara waweza kuisaidia police
 
Sasa hivi namchukia ile mbaya Haji Manara ila sijafikia hatua ya Kumuombea Kifo bali namuombea Maisha marefu duniani yenye Mateso mengi ya Kisaikolojia hasa kwa Mafanikio makubwa ya Uwanjani ambayo Simba SC inaenda kuyapata.

Na leo nasema hapa hapa Post yangu hii itunzeni kuwa Haji Manara huyu huyu ipo Siku atatuomba Msamaha wana Simba SC wote, Kukiri makosa na kuomba arejee kuwa nasi hata kama siyo kuwa sehemu ya Viongozi / Waandamizi.
Hakuna mwanaume anayeweza kumpangia mwanaume mwenzake namna yakutafuta pesa, wewe tulia hiyo ni kazi ya mwanamke. Kuna watu wa ajabu sana mnataka abaki hapo alipokuwa alafu baadae akishindwa kulea familia yake muanze kumcheka, acheni hizo mambo wakuu mjaribu kukuwa basi ata kidogo.

lengo ni ktafuta pesa maisha yaendelee na sio kuwaridhisha wanadamu na jamaa kaamua kweli kusimamia hili lengo
 
Kwani kusaidia Polisi ni Crime? Pumbavu.

Ukiwa kwenye gari lako private, umefunga vioo vyote. Ukiona dereva mwenzio kachomekea vibaya na bahati mbaya kidogo akusababishie ajari,
Gafra ukamtukana "pumbavu", na uku vioo vya gari lako vimefungwa, Hilo tusi utalisikia linakurudia wewe maana uliye mlenga humjui na wala hakujui.

Nadhan umenielewa na karibu Tena Kama kuna katusi kengine.....
 
Bora aachane na Wazee Watatu ila huyo Mmoja wa Magomeni ( na ambaye anamjua mno ) amtafute akamuombe Radhi vinginevyo kuna Giza nene naliona linaweza kutanda muda si mrefu.

Mightier huyo mzee unayemuogopa unajua hata yeye ana giza nene lililomtanda?
Halafu unajua huyo ni binadamu tuu aliyeamua kuishi maisha ya giza ambalo halimsaidi japo kujua siku yake ya kufa?
Unaamini hana uwezo wowote kama Haji ataamua kamshika Mungu?
 
Back
Top Bottom