Haji Manara amtuhumu Barbara kuwa na chuki dhidi yake. Amuahidi ataondoka Simba kwani amemkuta

Hapo kuna kete inachezwa kupotezea ishu fulani ili yanga ibweteke .wamewagundua kitambo
 
Hivi huyu manara atakuwa hana Meseji za C.E.O Barbara kweli mbona za yule mtangazaji Kishamba alitishia kuzitoa , aache utoto kulialia hadi anavuta kamasi na kupengea mdomoni.
 
 
Kama aliweza kufanya hivi kwa kiongozi wa simba sc atashindwa kufanya dhidi ya karia huyu ni tabia yake kujiona yeye ndio mtu mwenye nguvu kwenye soka letu.
Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…