Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji ht Mmoja peke Ake hamuwezi ,Hajj mpigaji ,kisirani na ana inferiority complex na Hali yake ilivyo,yule rubyna Kwa kua tu kachoka naye alikua anatafuta pakutulia maana walikua wapenzi wakaachana wamerudiana Ndo kuoana
Anaamini Kwa kua ana pesà,fame Ndo anamchukulia mke km bidhaa Kwa attitude ya Hajj ni ngumu kuishi na mke km tu watu wa kawaida wanakosana nae
 
Ila rushyna mkorofi na kibri sana bwana
Sio wife material kabisa.
Kiafrica ukitaka ndoa na hyo ndoa idumu lazima mwanamke u surrender baadhi ya haki zako...na pia kutimiza wajibu flani flani.
Tena ashukuru hata dubai alikuwa anapelekwa...wengine hata kwenye chips za mgosi hapelekwi na bado matusi na kipigo juu.
 
Eeeeeh mlongooo magono aga mgosi ivya ngati mdalaa, dunia yene yimaliki tangu kandaiiii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
chenjelaayiiiii!!!!!
weenga!
ila mwenyee baba yula ngati kuliyunga lyunga weeengaa!
Ah bwana weeee hata nee mbwiiiiitu weee!
haviii naaah , pamloooooooomooooo!
Yenyee ndoooowa hii au ligeege tuu!
gegelemahiiiii penyee apa!
weeenga!
 
chenjelaayiiiii!!!!!
weenga!
ila mwenyee baba yula ngati kuliyunga lyunga weeengaa!
Ah bwana weeee hata nee mbwiiiiitu weee!
haviii naaah , pamloooooooomooooo!
Yenyee ndoooowa hii au ligeege tuu!
gegelemahiiiii penyee apa!
weeenga!
Halafu nyie mnatutenga mjue.... tuambieni hyo libolo inayochangiwa na mtu na mkewe ni ya nanii
 
hawezekaniki wewe!
Mwanaume anayeongea vile wapi na wapi!
sio kweli!
 
Mpeni khanga manara avae
 
Wengi wao Wana stress ,wayafanyayo ni kujifariji tu.
 
Kwanini umpende mwanamke,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…