Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,
Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 [emoji16][emoji16][emoji16] akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana [emoji3]
Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu