Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Et Diamond anamla rushy , dhibitisha basi mdogo wake warumi , tutammisi Sana R.I.P warumi[emoji2960]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee chawa wakee mkuu na habari hunaa?
Labda kwa huko dubengaa, ila mie najuaga yulee profoo fulengaa ndo anawala wote mtu na mkewee,
Tena mchongo uliundwa na mo na di.

Mjini kutamuuuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee chawa wakee mkuu na habari hunaa?
Labda kwa huko dubengaa, ila mie najuaga yulee profoo fulengaa ndo anawala wote mtu na mkewee,
Tena mchongo uliundwa na mo na di.

Mjini kutamuuuu.
Mbna mo na di amempa pole dubengaa , kweli bila unafki maisha hayaendi😀😀
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa wee chawa wakee mkuu na habari hunaa?
Labda kwa huko dubengaa, ila mie najuaga yulee profoo fulengaa ndo anawala wote mtu na mkewee,
Tena mchongo uliundwa na mo na di.

Mjini kutamuuuu.
Profoo lulenga, hii code legeza kidogo mkuu cocastic
 
Mbna mo na di amempa pole dubengaa , kweli bila unafki maisha hayaendi[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbna cjaonaaaa em kwan nikimbiee insta akuuuuh.
Sweziii pitwaaa hata.
 
Watoto materialistic, hata uwe unatisha vp, kama una vyanzo,hawaogopi.
Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,

Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 😁😁😁 akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana 😀

Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
 
Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,

Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 [emoji16][emoji16][emoji16] akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana [emoji3]

Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
Umeshasema ana pedesheee, kwa pedeshee anafata pesa, kwako anafata penzi na fame.

Iko hvyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeshasema ana pedesheee, kwa pedeshee anafata pesa, kwako anafata penzi na fame.

Iko hvyoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sku ukiniona nakuwa baby wako forever na skuachiiii😁😁😁 af watu wanasemaga et we shoga , wakat pisi Kali kabisa , Wana Lao Jambo tuu
 
Sku ukiniona nakuwa baby wako forever na skuachiiii[emoji16][emoji16][emoji16] af watu wanasemaga et we shoga , wakat pisi Kali kabisa , Wana Lao Jambo tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hilo mie sijuiii. Labda wao ndo wakuthibitishie.
 
Mume wa zama hata ist ngumu sana kununua..lol
Huyo ndo kanunua range!!! wanawake tuache kuzalilisha wanaume kuwapa mizigo ambayo ni ngumu kubeba, kumsingizia kijana wa watu kanunua range akitekwa na majambazi wakijuwa pesa anazo wakati hana?
Au kwenye ndoa inabidi ujipendekeze hivyo mme umpaishe mawinguni?
Afu yeye mme anajisikiaje kusingiziwa kanunua range?

Rip ruge😉
 
Huyo ndo kanunua range!!! wanawake tuache kuzalilisha wanaume kuwapa mizigo ambayo ni ngumu kubeba, kumsingizia kijana wa watu kanunua range akitekwa na majambazi wakijuwa pesa anazo wakati hana?
Au kwenye ndoa inabidi ujipendekeze hivyo mme umpaishe mawinguni?
Afu yeye mme anajisikiaje kusingiziwa kanunua range?

Rip ruge😉
Mwanaume timilifu hawapendagishow off...angekua mwanaume mwingine asingeruhusu mkewe aongee uongo mpana namna hiy9
 
Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,

Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 [emoji16][emoji16][emoji16] akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana [emoji3]

Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
Wanawake mkuu hawaeleweki walikua wanapenda wabeba vyuma mara handsome huku wanapenda hela na akipata vyote anataka mtu anae mpiga miti mpaka anaomba poo ...mm mpaka sasa sijawaelewa huyu binadam hua anataka nn hasa ...akili yake ikoje ndo maana tunaishi nao kwa akili tu.
 
Back
Top Bottom