luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Au ndo kulelewa?Mwanaume timilifu hawapendagishow off...angekua mwanaume mwingine asingeruhusu mkewe aongee uongo mpana namna hiy9
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndo kulelewa?Mwanaume timilifu hawapendagishow off...angekua mwanaume mwingine asingeruhusu mkewe aongee uongo mpana namna hiy9
Mle mleAu ndo kulelewa?
Mwanaume rijali huwa hajisifu sijui navutia/ mrembo!! Hiyo Ni dalili mbaya.Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,
Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 [emoji16][emoji16][emoji16] akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana [emoji3]
Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
Povu lote hili, Kisa tu Ume [emoji90] [emoji3][emoji3]Ukiwa mwizi unaamini watu wote wako hivyo, kwa vile uliachia kinyesi wakati wa kujifungua sababu ya michezo yako michafu basi unnaamini wote tunakunyaga
Ww ndo umejisema unavyokunyaga ukiwa na una pushPovu lote hili, Kisa tu Ume [emoji90] [emoji3][emoji3]
Ukiwa mwizi unaamini watu wote wako hivyo, kwa vile uliachia kinyesi wakati wa kujifungua sababu ya michezo yako michafu basi unnaamini wote tunakunyaga
Kama hahitaji hela kwa huyo pedejee. Unadhani alikuwa anafata nini!?Mwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,
Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 😁😁😁 akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana 😀
Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
Mi nimezaa watoto kadhaa sijawahi kunya bhana,, na huyo anakomaa eti lazima unye,, uzazi wa wapi huoSio wote wanajisaidia na wanaojisaidia haimaniish wamefanya michezo michafu
hahahahaaMi nimezaa watoto kadhaa sijawahi kunya bhana,, na huyo anakomaa eti lazima unye,, uzazi wa wapi huo
Hebu nisaidie na wewe ajabu wanaokomalia ni wanaume ika wanaume wa siki hizi ni mizigo walahihahahahaa
Inashangaza sana na hapo wamesikia story tuu hawajawahi kuingia leba...hzi story za kusikia sikia hizi ni shidaa...kuna mtu hapo juu anasema mtu akipush lazima anye...How??? Labda kama alikua amekula na ndani ya masaa 12 b4 uchungu hakupata choo so uchungu unapoanza hapo ndo possibility ya kunya ni kubwa...lakini from no where tu unye labda una tatizo kubwa kwenye sphinter masozi zako...Hebu nisaidie na wewe ajabu wanaokomalia ni wanaume ika wanaume wa siki hizi ni mizigo walahi
Umeparamia chaka bovuMwanamke anapenda mwanamme mwenye mvuto , huko kwingine anafata za matumizi , believe me nakwambia , mi Hz mambo nakumbana nazo Sana , ukiwa na mvuto unahtaji visent vidogo tuu vya kung'aa mademu wanashoboka kinoma , wawe wake za watu , au vibinti vya mtaani , nilipataga demu mzuri kinoma mmeru hv Mitaa ya Kibamba , Demu alikuwa anang'aa kinoma , mzuri nice chick ngozi laini aisee,
Kumbe ana pedeshee la mjini , akawa anakuja ofsini kutoa pesa halopesa mana huyo Bwana wake alikuwa anamtumia kupitia halopesa , Leo anatumiwa laki tano kesho laki nne , jamaa anatuma pesa kama maji , cha kushangaza mi demu nikawa namhonga ice cream ya 2000 😁😁😁 akawa akipika msosi ananiletea ....... Daah nilienjoy Sana 😀
Mi huwa nawachora tuu watu humu wanasema ooh mwanamke anataka pesa , tafuta hela , Hamna kitu , ukiona hvyo jua umeparamia chaka bovu
Kweli maana nguvu hutumika kusukumaKila mwanamke akiingia leba wakati wa kupush lazima haja kubwa na ndogo zimtoke!! Kaulizeni wakunga watawapa habari.
Tatizo muoaji na waolewaji wote akili ni sawaKwani kulikuwa na ndoa pale
Au kuuza sura tu...show off
Hivi wale wake walikuwa wanapika kweli na kufanya kazi za nyumban
Maana kila siku ni pilika tu
Ova
Wengi hutokewa na hiyo haliNi mkeo tu sio wote wanakunya we kaka
Ila watuMi nilisema toka mwanzo manara ni binadam ila anatisha mno havutii yule dada asingeweza kupata hisia
Inawezekana kunya najua hilo lakini sio wote sasa wao wanakomaa eti ni lazima,,Inashangaza sana na hapo wamesikia story tuu hawajawahi kuingia leba...hzi story za kusikia sikia hizi ni shidaa...kuna mtu hapo juu anasema mtu akipush lazima anye...How??? Labda kama alikua amekula na ndani ya masaa 12 b4 uchungu hakupata choo so uchungu unapoanza hapo ndo possibility ya kunya ni kubwa...lakini from no where tu unye labda una tatizo kubwa kwenye sphinter masozi zako...
Sio kweliWengi hutokewa na hiyo hali
Mbona unekuwa mkali sana?Mkinyeana uko mnadhani wote tunakunya kunya tu eti[emoji23]
Bora umesawazishaSio wote wanajisaidia na wanaojisaidia haimaniish wamefanya michezo michafu