Akotia
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 528
- 1,241
Mbona unaichukulia JF serious sana. Mbona babako yupo WhatsApp,Instagram na Facebook. Last time app ya jf ikawa inazingua nikamwambia awe anatumia web version kupitia chrome.Wewe na baba yako wote pamoja humu?umejuaje?