Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So bure kachanganyikiwa manara kama ni kweli kasema hiloMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
CCM kumepangaranyikaMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Sidhani kama kuna mtu amemzuia rais kufanya kazi zakeMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Huyu zeruzeru nayeMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Ya kubambika kesi za ugaidi wanaodai katiba mpyaAaachwe afanye kazi gani?
Samia mwenyewe ni mtoto na mfuasi wa Magufuli wa kwelikweliMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Labda ikulu imevamiwaSidhani kama kuna mtu amemzuia rais kufanya kazi zake
Kama hiyo ndiyo kazi ambayo Manara anaomba aachwe aifanye, basi Manara hana akili kabisa.Ya kubambika kesi za ugaidi wanaodai katiba mpya
Yule ni chizi naye anamtukana MO na wakati kamuweka kwenye ramani japo mimi ni YangaKama hiyo ndiyo kazi ambayo Manara anaomba aachwe aifanye, basi Manara hana akili kabisa.
Binafsi mimi ni Yanga lakini huyu zeruzeru simkubali hata kidogoNikiwaona Yanga ni wapuuzi kumchukua huyu jamaa
Walinikera sana kumchukua huyu jamaa.Binafsi mimi ni Yanga lakini huyu zeruzeru simkubali hata kidogo
Ajili ya kafara (GSM)Walinikera sana kumchukua huyu jamaa.
Yanga sijui huwa wanatumia matope kuwaza!hovyo kabisa.
Hata mimi ni Yanga.
Thubutuuuu......Samia mwenyewe ni mtoto na mfuasi wa Magufuli wa kwelikweli