Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kaziMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.