Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mwenezi wa zamani sisiemu wa mkoa wa Mzizima.. Alifukuzwa baada ya kufanya ubadhirifu..Manara ndo Nani.?
Unakakufuru ndugu. Mauaji ya albino yalikomeshwa na mungu baada ya maombi konkiManara akumbuke Magufuli ndio alokomesha mauaji ya albino.
Kabla ya hapo albino walikuwa dili.
DEBITAaachwe afanye kazi gani?
Manara ni albino na pona pona yake ni utawala wa Magufuli. Kabla ya hapo watu wenye ulemavu wa ngozi waliuwawa sana.Unakakufuru ndugu. Mauaji ya albino yalikomeshwa na mungu baada ya maombi konki
Mungu alisikia kilio akaamua kuturescue. Siyo magufuli Mana alikuwa anapenda mauaji ndo Mana aliwaua Ben saanane na a azory gwangmda pia alimkosakosa lisu. Jpm hakuwa na mda wa kuokoa mtu bali kuuaManara ni albino na pona pona yake ni utawala wa Magufuli. Kabla ya hapo watu wenye ulemavu wa ngozi waliuwawa sana.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28]Manara akumbuke Magufuli ndio alokomesha mauaji ya albino.
Kabla ya hapo albino walikuwa dili.
Magufuli pamoja na ukatili na roho mbaya yake lakini aliwanusuru sana mazeruzeru kwani kabla hajaingia madarakani walikuwa wanauliwa kinoma. Manara afunge domo lake chafu linalotoa uvundoView attachment 2061495
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Em chukueni bia mkunywe aisee.... Mbona mnapaniki sanaMagufuli pamoja na ukatili na roho mbaya yake lakini aliwanusuru sana mazeruzeru kwani kabla hajaingia madarakani walikuwa wanauliwa kinoma. Manara afunge domo lake chafu linalotoa uvundoView attachment 2061495
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huyu mbolimweru..naona anaanza kuchanganyikiwa..akae kwa kutulia na yanga yake..Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Wakati unaandika haya ulikuwa umetumia mihadarati?Huyu na yeye ni wa kuita watu marehemu? Ee Mungu msameheme bure, kwani hajijui na hajui atendalo, hapo alipo Biologically keshafikia life expectancy ya watu aina yake halafu anaita wengine marehemu?
View attachment 2061480
Huyu nae atulie tusimwanzishie KESI ya Wizi Wake Akiwa CCMMsemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.
Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.
Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Acha kupotosha.Samia mwenyewe ni mtoto na mfuasi wa Magufuli wa kwelikweli
maCCM ni majizi.Huyu nae atulie tusimwanzishie KESI ya Wizi Wake Akiwa CCMView attachment 2061512
Labda amesahau kuwa mkono wake bado kuna watu wanauhitajiManara akumbuke Magufuli ndio alokomesha mauaji ya albino.
Kabla ya hapo albino walikuwa dili.