Haji Manara awatolea uvivu wafuasi wa Magufuli. Awaambia wamuache Mama afanye kazi

Haji Manara awatolea uvivu wafuasi wa Magufuli. Awaambia wamuache Mama afanye kazi

Wakati unaandika haya ulikuwa umetumia mihadarati?

Hapana, nimeshangaa tu mtu kama huyo kudhihaki na kukejeli wengine, mtu ambaye anahitaji huruma ya wengine kuishi ndiyo anakuwa mstari wa mbele kudharau na kutukana hata wale waliomhurumia na hata kujitolea kumsaidia.

Ndiyo maana nikamuombea Mungu amsamehe tu kwani ni wazi hajijui wala kujitambua.
 
Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.

Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.

Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
WAIPIGE MNADA CCM
 
Walinikera sana kumchukua huyu jamaa.
Yanga sijui huwa wanatumia matope kuwaza!hovyo kabisa.
Hata mimi ni Yanga.

Kwa hiyo kutotumia matope kuwaza ni pale unapoona mipango ya watu hailengi kumfanikisha mtu usiyekubaliana naye...
 
Back
Top Bottom