Haji Manara awatolea uvivu wafuasi wa Magufuli. Awaambia wamuache Mama afanye kazi

Manara ni albino na pona pona yake ni utawala wa Magufuli. Kabla ya hapo watu wenye ulemavu wa ngozi waliuwawa sana.
Mungu alisikia kilio akaamua kuturescue. Siyo magufuli Mana alikuwa anapenda mauaji ndo Mana aliwaua Ben saanane na a azory gwangmda pia alimkosakosa lisu. Jpm hakuwa na mda wa kuokoa mtu bali kuua
 
Manara akumbuke Magufuli ndio alokomesha mauaji ya albino.

Kabla ya hapo albino walikuwa dili.
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28]
 
MANARA ni GSM
GSM ni Msoga Family
Msoga Family ndio Wahuni wenyewe wanaolalamikiwa na Slow Slow.
Manara anatimiza wajibu wake kutetea mfumo wa Kihuni ili Wahuni GSM wapige pesa ikiwa ni pamoja na kupitisha Makontena ya Bidhaa zao Bandarini kwamba ni ya Viberiti au toothpic kumbe mzigo wa Carpet na Nguo
 


Tumsamehe tu nafikiri ana low IQ, kwani hata angejishugulisha kusaidia watoto wenye ulemavu kama yeye angepata Baraka sana kutoka kwa Mungu.

Ni low IQ tu huyo jamaa!
 
Wengine hatuko huko insta. Wekeni hiyo post yake hapa
 
Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.

Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.

Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Huyu mbolimweru..naona anaanza kuchanganyikiwa..akae kwa kutulia na yanga yake..

#MaendeleoHayanaChama
 
Msemaji wa Yanga Haji Manara amejitokeza na kuwashambulia wafuasi wa Magufuli akidai wanamkwamisha Mama Samia.

Amewataka ndugu wa marehemu wamuache Rais afanye kazi.

Ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram.
Huyu nae atulie tusimwanzishie KESI ya Wizi Wake Akiwa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…