Mbuli yaza
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 711
- 683
Hasa gorofaniHaji anasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa gorofaniHaji anasikitisha sana
Na huo ndio mtaji wa ccm; hawataki ibadilike hii hali, ili watawale milele
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Hahaha wacha ncheke mie, eti nae anachangia kuhusu mkataba wa bandari🤣🤣🤣
Obviously watu wenye Akili kubwa huwa wanapigwa vita za kila aina mpaka za kisaikolojia ili wazimishwe !! Sasa nani wanaocontrol huo mfumo ndio sijui kama ni outsiders au ni sisi wenyewe !!bahati mbaya zaidi hao hao wajinga ndio pia hupata nafasi ya kuingia kwenye mifumo na kuleta disaster kana hizi tunazoona.
Kuna wakati huwa nafikiria inawezekana Taifa hili limetekwa na kuna outsider wanaocontrol mfumo huu kwa manufaa yao binafsi.
Anamkufuru Mungu Aliye Umba TAIFA, KABILA, LUGHA, NA RANGI!Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Malizia nukuuKwahiyo mnuku vyote acha kutoa vipande utapotosha watu.
Walimuonea walipomfukuza,Huyu alifukuzwa ccm kwa kashfa ya utapeli
Na wajinga ndio waliopewa dhamana ya kusikilizwa na kuwakilisha maamuzi ya wengi.
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Tatizo liko hapaHuyu ndio kaongea mataqo kabisa. Yanga ukimix CCM unapata kitu cha ajabu sana
Hili swala la bandari naona imesha geuka kuwa vita ya WAISLAMU VS WAKRISTO na sio WANANCHI vs WAARABUKada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
1970s akiwa mdogo kabisa alipoletwa kwa babu yake pale Mtaa wa Twiga watu walijua ni mzungu😂😂hivyo alivyo ashajiona mwarabu ama vipi?