Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu


Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Na huo ndio mtaji wa ccm; hawataki ibadilike hii hali, ili watawale milele
 
bahati mbaya zaidi hao hao wajinga ndio pia hupata nafasi ya kuingia kwenye mifumo na kuleta disaster kana hizi tunazoona.

Kuna wakati huwa nafikiria inawezekana Taifa hili limetekwa na kuna outsider wanaocontrol mfumo huu kwa manufaa yao binafsi.
Obviously watu wenye Akili kubwa huwa wanapigwa vita za kila aina mpaka za kisaikolojia ili wazimishwe !! Sasa nani wanaocontrol huo mfumo ndio sijui kama ni outsiders au ni sisi wenyewe !!
 
Huyu jamaa anachoongea wananchi mnamwelewa kweli? Anafikiria maswala ya rasilimali za nchi ni sawa na ushabiki wa mpira. Pumbaff kabisa huyu😫😫
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Anamkufuru Mungu Aliye Umba TAIFA, KABILA, LUGHA, NA RANGI!
Hushangai ukimuona nyani wa Pemba Mweusi na nyani wa dubai ni mwarabu!
Kukosa Elimu ni ugonjwa hatari sana!
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Na wajinga ndio waliopewa dhamana ya kusikilizwa na kuwakilisha maamuzi ya wengi.
 
Huyu ndio kaongea mataqo kabisa. Yanga ukimix CCM unapata kitu cha ajabu sana
Tatizo liko hapa
20230630_184030.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Hili swala la bandari naona imesha geuka kuwa vita ya WAISLAMU VS WAKRISTO na sio WANANCHI vs WAARABU
 
Back
Top Bottom