1970s akiwa mdogo kabisa alipoletwa kwa babu yake pale Mtaa wa Twiga watu walijua ni mzungu[emoji23][emoji23]
Kutaharuki kumbe sio mzungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1970s akiwa mdogo kabisa alipoletwa kwa babu yake pale Mtaa wa Twiga watu walijua ni mzungu[emoji23][emoji23]
😃😃 Baba yake alikuwa katoka Ulaya na Yeye ndio akaletwa siku hiyo Hiyo kutokea MagomeniKutaharuki kumbe sio mzungu
Ikulu ya Dar ni ya wakoloni waje waichukue walijenga kwa pesa zao asilimia 100Itabidi kila mkoloni arudi kwenye koloni lake kuchukua akichoacha
Ndiyo maana yanaitwa mazeluzelu, sasa hiki kasema Nini?Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Huyo orofesa wako hana ulewa ws biashara.
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Kabisa tena, wapewe haraka sana. Watanzania imetushinda, inakufa hovyo.Hata reli ya Dar to Mwanza na Kigoma ilijengwa na wajeruman. Je tuwape wajerumani?
Akili kisoda huyo
Tunatafuta ugali kwa nguvu zoteKada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Hili suala linakuvua nguo sana dada yangu. Kwanini umechagua njia isiyo sahihi na kufanya yasiyo sahihi?Tena kweli kabisa, maili kumi (kilomita 16) zote za mwambao ni za Zanzibar.
Mama hamia Dodoma na Ikulu ya Dar tuwarudishie wenyewe Waarabu.
Wewe nimekwambia wachana na mimi, jibu hoja zangu.Hili suala linakuvua nguo sana dada yangu. Kwanini umechagua njia isiyo sahihi na kufanya yasiyo sahihi?
Hili suala linakuvua nguo sana dada yangu. Kwanini umechagua njia isiyo sahihi na kufanya yasiyo sahihi?
bahati mbaya zaidi hao hao wajinga ndio pia hupata nafasi ya kuingia kwenye mifumo na kuleta disaster kana hizi tunazoona.
Kuna wakati huwa nafikiria inawezekana Taifa hili limetekwa na kuna outsider wanaocontrol mfumo huu kwa manufaa yao binafsi.
Mkuu yani wewe jipige pige matiti ujiambie "mimi ni mbumbu, mjinga na sina maana"Bangi najifukiza. Jwenye udi, sivuti.
Mkataba nimeusoma mara 100 kidogo. Upo vizuri sana.