Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

Haji Manara: Bandari ya Dar es Salaam ni ya waarabu toka enzi na haituhusu

Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Bora tu angekaa kimya😂
 
Mimi nawaulizi wanajeshi wanalinda mipaka gani wakati mipaka Yao imechukuliwa na waarabu?
Wacha haya maneno yako. Uhuru wa maoni usiutumie kununua kesi ya kunyongwa! Jadili vizuri, toa ushauri. #SISI NI TAIFA.🙏🙏🙏
 
Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.

Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
MUARABU hakai foleni Zenji, wakiongea na waarabu hupatwa na midadi na nyege za nyuma, sijui kwa waislamu wa bara ni hivyo pia?
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Ndio maana anaitwa Haji..
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Sasa mtu akiseama akina ''Haji'' hawajasoma na wamebaki na uchawa tu, Haji, Kitenge, Sheikh Mwaipopo na kuendelea pamoja na chawa Mwashamba, sijui msafa wa wapi huyu.
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Hii ni comment ya mwaka. Imejaa kila aina ya ukweli.
 
Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;

" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."

Haji.
Kwahiyo hata white nae mwarabu,yani ccm imebaki kutetewa na wajinga tu
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.


Walilelelwa na baba yao aliyewekwa madarakani na Muingereza na hii ndio hali

Nyerere bia.jpg
 
Taifa hili linahitaji misimu kadhaa ya kiongozi katili na zaidi ya chidi ili wapumbavu wengi na wafanya mizaha wafe ili ipatikane base line ya kujenga Taifa na watu serious.
Niliwaambia watu.....wakaniona mjinga tatizo moja baya sana la jpm ni upole .....ukweli ni kwamba mtu kama msoga hakutakiwa kuachwa hai.....mwingine ni rostam ...mwingine ni singasinga na wote alio chukua pesa za rumbesa na wengine wengi sana
 
Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.

Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
Hakuna Mkristu aliyetetea mwekezaji tapeli kwa kigezo cha uzungu na Ukristu.
Ndugu zetu ndio wanamuona muarabu kama mtume vile.
 
Huyo ni mgonjwa, dawa anazotumia ni Kali Sana. Sasa siyo vizuri kubishana na mgonjwa au kumsema vibaya mgonjwa
 
Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.

Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
Acha uongo hakuna Mzungu mkristo anaiba Tanzania ni watanzania wenyewe wezi
 

Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.

Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.

Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
 
Back
Top Bottom