Bora tu angekaa kimya😂Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Wacha haya maneno yako. Uhuru wa maoni usiutumie kununua kesi ya kunyongwa! Jadili vizuri, toa ushauri. #SISI NI TAIFA.🙏🙏🙏Mimi nawaulizi wanajeshi wanalinda mipaka gani wakati mipaka Yao imechukuliwa na waarabu?
[emoji16]Huyo ni kawaida yake huwa anatumia makalio kutoa matamko yake.
MUARABU hakai foleni Zenji, wakiongea na waarabu hupatwa na midadi na nyege za nyuma, sijui kwa waislamu wa bara ni hivyo pia?Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.
Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
Ndio maana anaitwa Haji..Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Sasa mtu akiseama akina ''Haji'' hawajasoma na wamebaki na uchawa tu, Haji, Kitenge, Sheikh Mwaipopo na kuendelea pamoja na chawa Mwashamba, sijui msafa wa wapi huyu.Kada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Hii ni comment ya mwaka. Imejaa kila aina ya ukweli.
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Kwahiyo hata white nae mwarabu,yani ccm imebaki kutetewa na wajinga tuKada na Afisa wa Chama cha Mapinduzi wa zamani ndugu Haji Manara amenukuliwa kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akisema na nina mnukuu;
" Bandari ya Dar es Salaam ilijengwa na Sultan wa kiarabu toka enzi hizo. Tusijifanye tuna uchungu nayo kivile ilhali haituhusu."
Haji.
Ni Tanzania tu ambayo mtu mpiga soga kama huyu anaweza kuendesha maisha yake na kuoa wake wengi kwa sababu tu ya kupiga soga. Huyu angekuwa nchi za watu wanaojielewa angekufa njaa. Nchi nyingine huwezi kuendesha maisha kwa kupiga soga.Ndio maana anaitwa Haji..
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.
Kazi yao kuu ni kunya tu makambini ....over....Mimi nawaulizi wanajeshi wanalinda mipaka gani wakati mipaka Yao imechukuliwa na waarabu?
Niliwaambia watu.....wakaniona mjinga tatizo moja baya sana la jpm ni upole .....ukweli ni kwamba mtu kama msoga hakutakiwa kuachwa hai.....mwingine ni rostam ...mwingine ni singasinga na wote alio chukua pesa za rumbesa na wengine wengi sanaTaifa hili linahitaji misimu kadhaa ya kiongozi katili na zaidi ya chidi ili wapumbavu wengi na wafanya mizaha wafe ili ipatikane base line ya kujenga Taifa na watu serious.
Si ajabu likatoka bomb au wale viumbe tuliokuwa tunawaona kwenye Babylon 5!!Huyu ndio kaongea mataqo kabisa. Yanga ukimix CCM unapata kitu cha ajabu sana
Hakuna Mkristu aliyetetea mwekezaji tapeli kwa kigezo cha uzungu na Ukristu.Bahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.
Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
Kama ccm iko salama mengine hayawahusuMimi nawaulizi wanajeshi wanalinda mipaka gani wakati mipaka Yao imechukuliwa na waarabu?
Acha uongo hakuna Mzungu mkristo anaiba Tanzania ni watanzania wenyewe weziBahati mbaya Mtanzania Muislam anaamini anapaswa kumtetea muarabu muislamu hata kama analiibia Taifa lake kama ambavyo Mtanzania Mkristo anaamini anaweza kumtetea Mzungu mkristo au muisrael hata kama ni washenzi wanaliibia Taifa lao.
Naweza sema tuna ujinga mwingi sana ambao unatafuna taifa hili na kufanya watu masikini kila kukicha.
Zanzibar kea kutumia mikorogo wanaongoza kwenye hili bara la AfrikaNyege ya makalio huwapataga wasikia neno MUARABU hasa wazenji ndio maana wengi wanatia mkorogo wafanane na MUARABU
Kwa hiyo kwako wewe unahisi Shivji ana akili kuliko Diamond au? Kuwa na degrees siyo kwamba una akili. Ni kwamba ulielekeza akili zako kuzipata. Na hilo tu mkuu.
Nchi ambayo watu wajinga ndio maarufu na wanafuatiliwa na kusikilizwa sana kwenye mitandao ni nchi yenye watu wajinga wengi. Huu ni ukweli japo unaumiza.
Ukitaka kujua hii nchi imeoza kwa kiasi gani, Prof. Shivji aitishe mkutano na wanahabari wa kuuchambua mkataba huo wa DP na Diamond aitishe mkutano na wanahabari wa kuchambua mkataba huo huo. Mtaona ni nani atakusanya wanahabari wengi.
Nchi hii ina watu wajinga wengi, wengi kupita wale wenye akili.