kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #181
Aende kokote kachemka sijui kama ccm inavumilia watu wapuuzi!NI MUISLAMU NUSU MZANZIBAR TULIA KAMA ULIVYO ASIJE KUKURIPOTI KWA ABDUL...
MANARA ANA CHEO CHA GENERAL CHAWA
Ataimba wimbo wa taifa hata kama haujui!Siku ajichanganye apelekwe magereza ata siku mbili.. akitoka atasalimia hadi watoto wa shule ya msingi
Amenyooka sasa!Karia hataki upuuzi!
Umemaliza au sio zaylisa!Shida ya kuandika huku unatafuna mahindi ya kukaanga huku umekalia spoko ya baiskeli.
Dharau hafanyi muungwana yeyote yule.....Jidanganye na aendelee kudharau watu. Hatumuombei mabaya ila siku akiyakayaga.🥲🥲🥲
Kwa hiyo sababu ni hasira za kupigwa 4 na wananchi ?!! Ha ha haHaji yuko sawa amri amri wapeleke uko magerezani wameingia cha kike wenyewe mtu anahojiwa tenana vyombo vya habari ilikuwa ni simple tu haji eheee mmeshinda tunaomba njia sasa wanaleta stress zao wakang,'oe viti kama wenzao hii burudani ukiona uiwezi achana nayo
Kwa hiyo BAKABAKA ndiyo wanatakiwa wapige watu hovyo kinyume cha taratibu ?!!Daaaah ila askari magereza huwa naona wanafundishwa nidhamu sana hawa watu. Sijawahi ona wanaleta fujo hata kidogo. Huyo angejichanganya kwa bakabaka 😁😁😁 angekuwa mwekundu
Ha ha ha akifanya kosa la kuhukumiwa ataiomba mahakama IREJEE hii thread ili YASIMKUMBE hayo usemayo....Siku ajichanganye apelekwe magereza ata siku mbili.. akitoka atasalimia hadi watoto wa shule ya msingi
It makes sense...huyo askari alijibiwa vzr kuwa TUNAPISHA ila akaleta maneno ya shombo , hii kauli ya Manara mnazuga hamkuiona , waafrika mnaroho mbaya sana Mtu kuwa Yanga au Simba isiwe sababu ya kumnyima haki yake
Mtu yupo na waandishi wa habari halafu unataka kumdharirisha ? hv hata Samia angekubali kwel ? hata Huyo Kikwete angekubali kwel ?
tuache tofauti za timu haya mambo mnayatetea mkumbuke hawa polisi tunaish nao humu humu na mnawabriki kufanya ubabe hata nje ya uwajibikaj wao
Facts!ww ni mpuuz , unataka tumwabudu mtu anakula kwa kodi zetu ?
Aropoke mara ngapi. Rejea Barbara, rejea Karia nkIla Manara kanihuzunisha sana nategemea muda wowote aje alie lie kuomba msamaha,
Ametumia maneno makali sana kudharirisha jeshi la magereza,
Kuna siku nilisema hapa kama hukuwahi kukaa jela huwezi kuwaheshimu askari magereza ila ukija kukaa wiki tu hata siku ukitoka ukiwaona mtaani utakimbia uvunje mguu,
Nb, Haji asipoangaliwa ipo siku atakuja kuropoka makubwa kila mtu akashika mdomo, nategemea magereza watoe tamko kwa udharirishaji ule ,ikumbukwe huwezi kuwa mfungwa mpaka uhukumiwe nje ya hapo ni mahabusu tu sasa,
Yeye anamuambia askari magereza aende kwa wafungwa wenzie?
Huyu ni keng.eHuyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa.
Na hao kituo cha sheria za haki za binadamu hatusikii wakikemea kitu wafungwa wapo kutumikia makosa yao sasa kama haji kakoromewa na magereza ya nini awadhalilishe na wafungwa
Mtu huyu hastahili huruma kwa ule ulemavu wake achukuliwe hatua tu!
Haji Manara ni nani katika nchi hii!?
View attachment 3183108
Nimeangalia ili kujirisha lakini nimeifunga kwa kuogopa alichofanya haji ni dharau hata kwa rais una kua public kuwa insult askari wa jamhur akiwa na uniform I see suamini hajui hao wanajiita kampuni moja ipo siku kwa hao hao magereza haki ktk umri wake atasimulia muda ni mwalimu hao sio mambo ohhhHawa machawa wa viongozi na Lumumba + pale makumbusho kwasababu ya kutumika kwao kukisaidia chama chetu basi nao hujiona wanahati mmiliki ya kufanya lolote lile.
Tuweke mipaka na kuchora mstari kwenye suala zima la discipline kwa jamii bila kujali cheo au dhamana uliyonayo.
Hujui code of conduct ukishakua askari na kuna ushara au tatizo la kinidhamu sehemu haya bwana kwa hiyo bosi wa magereza tanzania sio amiri jeshi mkuu ok labda sielew wape vichwa wengn na labda huyo askari ni ajira za juz ww ulimsikia magu alivomwambia IGP wa wakati ule I wish could....Kwa 90% Haji Manara yuko sahihi tatizo kabisa. Inaonekana anajua sheria na akaamua kusimama katika sheria.
Askari Magereza hana mamlaka yoyote ya kumkata au kumuamuru raia, mamlaka yake yapo gerezani kwa wafungwa na mahabusu.
Tz tunahitaji wakina Haji Manara wengine kama 100 hivi.
Umeandika kishabiki sana, na nitakushangaa sana kama umeingiza Usimba na Uyanga hadi unatamani eti Haji akamatwe! Katika hili, both Afande na Manara wana poor attitude! Kwa mfano Afande alipoombwa asubiri kidogo alikuwa na sababu gani za kumwambia Manara hizo interview zake akafanyie kwenye gari ya Uto?! Sasa hapo aliongea kama Afande wa Jeshi la Magereza au kama Shabiki wa Tanzania Prison Sports Club?!Jana wakati wa mchezo Kati ya Yanga na Prisons, Haji Manara alifanya kitendo kisicho cha kingwana na udhalilishaji kwa jeshi la Magereza kwa kuwaita askari ni wafungwa.
Manara ambae alikuwa anahojiwa na waandishi wa habari huku akiwa amepark gari lake njiani na kuziba njia hiyo magari mengine yasipite, alipotakiwa kulitoa gari lake ili gari la Magereza lipite alimtukana askari huyo na kumuita ni mfungwa hivyo askari wote wa magereza ni wafungwa.
Kitendo hiki kilikuwa cha kidhalilishaji haswa kwani wote tunatambua kuwa kuna utofauti mkubwa Kati ya askari magereza na wafungwa, askari ni muajiriwa wa serikali ambae analinda na kurekebisha wafungwa wakati mfungwa ni mtu aliyepatikana na hatia na kuhukumiwa adhabu na mahakama.
Jeshi la Magereza linatakiwa kumchukulia hatua Haji ili iwe fundisho kwa watu wengine, kama jeshi litaruhusu udhalilishaji wa namna hii na wakakaa kimya basi ipo siku tutashuhudia udhalilishaji zaidi ukifanywa kwa askari.
Mbona hatuoni askari wa jeshi la polisi, Jwtz wakidhalilishwa Kwanini iwe kwa magereza.
Huyu mtu anapaswa kukamatwa ikiwezekana apelekwe gerezani akaone utofauti wa askari magereza na mfungwa.
View: https://youtu.be/F93mZI980ZU?si=sShG-Fz-jyypfYKV
Polisi ni Basha wa Mama.ko..pumbavu.we ni mataklo , huyo polis basher wako aliambiwa TUNAPISHA ila bado akaendelea kutoa shombo , mjifunze kubalance ushabiki , ushabiki unawafanya mnakuwa wehu , mnatetea kila kitu siku hz provided ni against or alongside your team
HUYO ASKARI NINGEMTIA HATA MAKOFI , ANAFANYA HIVYO KISA ANAJUWA NI MANARA ILA ANGEFANYA HIVYO KAMA INGEKUWA NI PRESS YA KADA WA CCMU ?
WATANZANIA JIFUNZEN KUBALANCE USHABIK , MTU KUWA YANGA AU SIMBA ASIFANYWE ADUI KUWA HATA HAKI YAKE ASIPATE KISA TIMU ALIYOPO
JW ndio nini mbona nao wakikutana na watu wao wanapigwa na wengine hadi wanauawa wakiamini kuwa gwanda litawalinda ni ujinga kuamini kuwa nafasi yako ndio itakusaidia hawa jamaa wa Magaereza ni moja ya watu wanaojitambua sana mtu mjinga sio wa kubishana nae..Siku moja aje kujibu hivyo hivyo kwa askari wa JW. Atawasimulia.
Anadhalilisha watu kwa dharau sana!
Utovu wa kinidhamu dhidi ya nani na huo utovu wa nidhamu umefanyika wapi?! Yaani upo kwenye Uwanja wa Soka halafu bado unataka usujudiwe na asiyefanya hivyo ni mtovu wa nidhamu?! Uwanja wa Soka?! Huyo askari na mwenyewe hana nidhamu kwa sababu baada ya Haji kuomba wasubiri kidogo wanamalizia asingeleta tena habari za eti wakafanyie interview yao kwenye gari ya Yanga! Hapo alishauvua Uafande wake bali akawa Shabiki wa Prison SC! Who's Haji pale Uto hadi amtake akafanyie interview kwenye gari ya Uto?! Ndivyo interviews zote baada ya kumalizika soka zinafanyika kama alivyotaka afande au kwa sababu wao ni Maafande basi everything else kiwe in favors of wao?! Kwanza mbasi mkubwa wote ulienda kufanya nini ndani badala ya kuu-park nje?! Au ni Maafande waliingia kutazama soka bila viingilio halafu bado wanataka wawe treated kama Maafande badala ya Mashabiki Fake wa Prison SC?Hujui code of conduct ukishakua askari na kuna ushara au tatizo la kinidhamu sehemu haya bwana kwa hiyo bosi wa magereza tanzania sio amiri jeshi mkuu ok labda sielew wape vichwa wengn na labda huyo askari ni ajira za juz ww ulimsikia magu alivomwambia IGP wa wakati ule I wish could....