Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Hahahaha nilimsikiliza Haji alivyosema kwamba aliheshimu mamlaka ya uteuzi hivyo akashindwa kutoa hiyo siri hapo awali ila alimwambia ukirudia tena nitatoa siri yako hii.

Tetesi jamaa ni GASHO analiwa KIBOGA au ana michezo ya KIGASHO kama alivyosema DADA LAO LA USA.



toba mh haya
 
Hivi Manara ana matatizo gani ana siri gani ambayo inamhusu Muro akitamka ndio Tanzania itasimama na huenda akatenguliwa na u DC Hivi anajua viongozi wa Serikali wanavyopatikana kwama akisema yeye basi final Jery wakati anampa zake Manara alikuwa likizo na sasa yupo kituoni kwake Halafu Manara huyuhuyu wakati anamjibu Jery alisema Rais na Waziri wa Tamisemi watasema kitu mbona kimya sijui kwanini anapenda kuihusisha katika upuzi wake Nayeye wakifukua madhambi yake alipokuwa katibu mwenezi CCM Dar si ataibika
 
GENTAMYCINE,
Kwa kauli yako hi Jerry atajitokeza rasmi...unafikiri Jerry Hana Siri za mikia na watu wake...subiri uone Kama hutashuhudia maafa ....

Na Mimi ndiyo ' nimewasakizia ' kwa Makusudi ili ' Munkari ' uwapande na DC Jerry Muro ' ahamanike ' kisha ajibu ' Mapigo ' na hatimaye Haji Manara amalize Kazi kabisa ili Mwanasiasa wenu huyu wa ' Kuteuliwa ' wa Wilayani Arumeru ' aumbuke ' na ashike Adabu kwani amezidi mno ' Kumshambulia ' Mtoto wa Mjini Kariakoo Haji Sunday Manara. Na kwa ninavyomjua DC Jerry Muro alivyo mpenda Sifa na Bundesliga ( Ubishani na Majibizano ) nae atataka Kujibu mapigo na hapo ndipo atakapomalizwa kabisa.
 
Hivi Manara ana matatizo gani ana siri gani ambayo inamhusu Muro akitamka ndio Tanzania itasimama na huenda akatenguliwa na u DC Hivi anajua viongozi wa Serikali wanavyopatikana kwama akisema yeye basi final Jery wakati anampa zake Manara alikuwa likizo na sasa yupo kituoni kwake Halafu Manara huyuhuyu wakati anamjibu Jery alisema Rais na Waziri wa Tamisemi watasema kitu mbona kimya sijui kwanini anapenda kuihusisha katika upuzi wake Nayeye wakifukua madhambi yake alipokuwa katibu mwenezi CCM Dar si ataibika
Kasema siri yenyewe alimtumia kwenye Message na ukumbuke Haji alikaa akasaka siri zake kwa watu mbalimbali wakiwemo akina Le mutuz na wenzao na anajua hizo siri zitamkera Rais magufuli na ujue yupo tayari kwa vita jerry muro afufue yake na yeye ataendelea na ya Jerry muro kila mmoja afukue kaburi za mwenzie ndipo utajua yupo mkweli
 
Kichwa cha Manara sijui kina nini yeye anapenda sana kuishambulia Yanga nadhani ana allege nayo yeye akijibiwa tu anakuwa mbogo sijui CV yake ikoje ameona Jerry ameenda Arumeru anaanza kutamba Hivi Mo inakuwaje unakuwa mtu mwenye kukosa adabu halafu aangalie sana anapochanganya UDC na Muro ni mamlaka tofauti usije ukaulizwa kama wakati ule ulijifanya msemaji wa familia ya MO kwani kuzaliwa Kariakoo kuna tofauti gani na kuzaliwa Katavi
 
Lileta mada lenyewe ndilo hugeuzwa na Jerry! Eti Tanzania itasimama, yaani Mimi nisimame kwa ajili ya mambo ya Jerry? Shauri yako kama Bashite unamwonea wivu!

Hujawahi Kumiliki Akili uwapo hapa Jamvini JamiiForums hivyo wala hunipi taabu.
 
Nimepitia uzi mzima. Nimeona huenda mheshimiwa kuna vitendo vibaya alifany huko nyuma ila kasahau kua duniani hakuna siri ya watu wawili

Na ndipo hapo hapo Haji Manara alipomtegea na anamsubiria kwa hamu ' amchokoze ' tena ili amalize Kazi kabisa kwa Kumuanika.
 
Shoga nn?

Subiri Kwanza atakapomchokoza tena Haji Manara kwa Kombora na Bomu litakalorushwa dhidi yake ndipo tutajua kama ni ' Mtambaliziwaji Mwandamizi ' au labda Watu wanamsingizia kutokana na Chuki zao Binafsi na za Kisiasa dhidi yake.
 
Tanzania kuna wakuu wa mikoa 4
1. Mwanri
2. Ally
3. Arusha
4. Chalamila

Wakuu wa wilaya 2
1. Ole kijana wa Hai
2. Na huyu wa Arumeru

Nashangaa wiki hizi 2 au 3 huyu wa Arumeru hasikiki kabisa. Sifa zoote anachukua ole.
Manara.......ntakutafuta
 
Hivi Manara ana matatizo gani ana siri gani ambayo inamhusu Muro akitamka ndio Tanzania itasimama na huenda akatenguliwa na u DC Hivi anajua viongozi wa Serikali wanavyopatikana kwama akisema yeye basi final Jery wakati anampa zake Manara alikuwa likizo na sasa yupo kituoni kwake Halafu Manara huyuhuyu wakati anamjibu Jery alisema Rais na Waziri wa Tamisemi watasema kitu mbona kimya sijui kwanini anapenda kuihusisha katika upuzi wake Nayeye wakifukua madhambi yake alipokuwa katibu mwenezi CCM Dar si ataibika

Mbona umeumia na unateseka sana Mkuu? DC wako wa Arumeru Jerry Muro si anajifanya Mbishi na Mjuaji hebu amchokoze tena Haji Manara ili Betrii ichomolewe na Watu wayajue yale ' behind the Scene ' yake kabla hajawa Mkuu wa Wilaya. Na ninavyosikia Haji Manara alipewa Siri zake nyingi na Watu wa Yanga SC yake hiyo hiyo baada ya Kuchukizwa nae ( Jerry Muro ) kwa Kosa la ' Kutumika ' Kumuharibia aliyekuwa ' Messiah ' wao Tajiri Yusuph Mehboob Manji hadi akapata Changamoto zile na kuamua Kuachana kabisa na Masuala ya Mpira.
 
Tanzania kuna wakuu wa mikoa 4
1. Mwanri
2. Ally
3. Arusha
4. Chalamila

Wakuu wa wilaya 2
1. Ole kijana wa Hai
2. Na huyu wa Arumeru

Nashangaa wiki hizi 2 au 3 huyu wa Arumeru hasikiki kabisa. Sifa zoote anachukua ole.
Manara.......ntakutafuta

Kwa taarifa yako tu sasa unaambiwa tokea Haji Manara alipomuonya DC wako Jerry Muro juu ya hiyo Siri kubwa mno na mbaya sana Jamaa ( Jerry Muro ) amekuwa Mpole ghafla hana Raha tena na Kinachomuuma zaidi ni nani amempa hiyo Siri Haji Manara kwani Yeye hakuwaza kama iko Siku Haji Manara atakuja Kuijua. Na uone kuwa Haji Manara anajiamini unaambiwa Siku aliyomuonya DC Jerry Muro alimtumia kabisa na Meseji na ' Kumuanikia ' hadharani kabisa hiyo Siri na akaishiwa Nguvu kabisa. Kifupi DC Jerry Muro ameshikwa pabaya na awe tu Mpole na aache Kumfuatafuata Mtoto wa Mjini Kariakoo Haji Manara kwani ataumia!
 
Back
Top Bottom