Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #21
Mkuu Sexless, kikawaida hao manyang'au huwa wanakwenda na tempo ya rais aliyepo madarakani, hivyo watabadilika.Samia anaweza kuwa na dhamira njema ya kuweka sheria zinazoleta usawa kwenye chaguzi, lkn kazungukwa na manyang'au yanayonufaika na hizi sheria kandamizi. Yatakubali?
Rest assured tunaposema ni kwa maslahi ya Taifa, we mean Maslahi ya Taifa na sio Maslahi ya Chama.Nasuburia kwa hamu kubwa mahojiano yako Pascal Mayalla na mhe Samia. Naamini maswali yako yatajikita kwenye masuala ya maslahi ya taifa tu na siyo kukijenga chama chako.
Sabasaba imeishaWanabodi,
Kama kawaida yangu, huandika Makala za "Kwa Maslahi ya Taifa". Hii ni makala ya wiki hii, iliyotoka kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.
View attachment 2285945View attachment 2285946
Karibuni.
Wakili Pasco
Yes, japo Saba Saba inaisha rasmi 13 July.Sabasaba imeisha
Duh...!. Ila japo una joke lakini inafikirisha!.Hivi kwanini Pascal akimsifia mtu, mtu huyo huishia kufeli? Je, ana gundu?.
Mfano:
Alianza na Lowassa
Akaja kwa Makonda
Akaja kwa Jiwe
Akaja kwa ...........
Hapa unanionea bure!.Sasa anajipenyeza kwa Hangaya 😃😃😃😃😃 (JUST JOKING)
Tawire.Kwa hili la Samia kupenda haki naunga mkono amempita by far mtangulizi wake.
Naunga mkono hoja, kila zama na Zama zake, zama zile zimepita, twende na zama zilizopo.Kila kitabu na zama zake, hakuna cha kumpita mtangulizi wala huyu kafanya madogo au makubwa kuliko flani.
Hata nikichukua hiyo nafasi bado nitasifiwa na kusemwa kwa uzuri ni kwa sababu ni wakati wangu!.
Hakuna ubaya wowote kumsifia mtu yoyote as long as ni sifa za kweli and she is doing great!.Sijaona cha maana zaidi ya kumsifia, SS anapita njia ile ile kama waliomtangulia, ila kwa ujanja na mbinu nyingine.
naunga mkono hojaUkiweza kupamba maua kadiri iwezekanavyo ili watu wasifie eneo lako fanya hivyo na inawezekana ukapata kipato kwa wapita njia kutaka kupigia picture hapo.
☝🏾
That's!.
Asante Sana.First of all nakupa kongole kwa heshima uliyopewa.
Mi naishia hapo hapo kwa sasa
Mkuu blogger, asante kwa swali zuri. Kwanza tutofautishe hisani na wajibu, hisani ni vitu vinavyofanywa kwa favours na sio wajibu. Mfano wewe unawajibika kwa matunzo ya familia yako ikiwemo chakula, mavazi, malazi etc huo ni wajibu wako, kutimiza wajibu wako is not favours, its a responsibility. Ila kutokana na hali yako ukiamua badala ya kuwanulia mkate wewe utanunua keki, mayai na sausages for breakfast, hapo ndio umefanya hisani, au umeamua kununua chakula na kumgawia na jirani yako.Eti, mkuu Pascal. Nikuulize swali. Unafikiri utulivu wa nchi hii kwa sasa ni kwa hisani ya nani na nini!?
Poa mkuu wanguYes, japo Saba Saba inaisha rasmi 13 July.
P
Mkuu Kinkunti El Perdedo , heshima kitu cha bure, tuheshimiane, sio kila mtu anayeandika vitu positive kuhusu jambo lolote, anahitaji uteuzi!. Tuheshimiane jameni.
Mkuu Mbekenga , asante kwa hili,Wahenga walisema 'Aisifiaye mvua imemnyea'. Bila shaka hata ndugu Pascal hajaandika makala hii kwa misingi ya methali hii ya wahenga.
JPM hakuwa malaika so does Mama, hivyo sii kweli kuwa anatembelea madhaifu ya mtangulizi, bali Mama anarekebisha makosa yaliyofanyika huko nyuma.Lakini alichokiandika ndugu Wakili mpya kiujumla mpaka sasa mama anatembelea madhaifu ya the great JPM ambayo yanawanufaisha wachumia tumbo wachache ambao wanaweza kuandika nyaraka mitandaoni.
Hakuna yeyote anayetaka kuikausha mbegu yoyote iliyopandwa na yeyote.Lakini tunaofanya kazi huku vijijini bado mioyo ya wananchi ilishapandikizwa mbegu ya JPM ambayo kuikausha si rahisi.
Hivi karibuni ni neno relative la kuashiria muda, linalofuata kanuni za relativity kutegemeana na muktadha husika. Hivi karibuni ya siku ni few days, hivi karibuni ya weeks ni few weeks, hivi karibuni ya months ni few months, hivi karibuni ya years ni few years, hivyo hivi karibuni ya kutengemeza uchumi wa kati ni few years. Na kuna Ile hivi karibuni ya centuries and centuries ya kumsubiria "atakapo rudi Mwana wa Adamu", tunaambiwa "kesheni mkiomba kwa maana hamjui siku".Mama alisema hivi karibuni tutarudi uchumi wa kati, hiyo karibuni inaisha lini?
Naendelea kusisitiza hakuna yeyote anayetamani kuifuta record ya yeyote.Hapa ndo utajua record ya JPM ambayo wanatamani kuifuta kwa kutumia madhaifu yake lakini wananchi wanaojua alichokiacha baba.
Sitafuti uteuzi wowote!, for what?!. Ushauri wangu wa bure kwako, next time ukikutana na rubbish, just ignore and move forward, don't stop and waste your precious time to read rubbish and reply. Time is money, save your precious time, save your money!.Unatafuta uteuzi, huchoki tu! Rubbish!
Duh...!. Naomba usimcheke Wakili Pasco, haka ni Ka Lakha Ka dogo!.Hata sijasoma ulichoandika nimeishia kucheka hapo ulipoandika, Wakili Pasco!
Tuwe na shukrani kwa madogo ili tutendewe makubwa!. Safari ni hatua, na lazima uanzie chini mdogo mdogo kuenenda huku aki gain momentum, tutafika, Kwa mwendo huu alioanza nao, atabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa.Ni kweli kabisa Samia ni mpenda haki, ila iwapo kipimo cha haki itakuwa ni Magufuli tu. Lakini kutenda haki kama haki bado yuko kwenye level ya chini.
Duh...!.Mheshimiwa mwendazake anampiga mama jicho huku moyoni akisema utanikoma, Mheshimiwa madame anasema kimoyomoyo Bwana tenda miujiza
Kwanza asante kuniita lofa! kwasababu kwa sasa hapa nilipo mimi ni lofa kweli, ila ulofa sio kitu permanent, mtu anaweza kuwa lofa leo, na kesho akawa sio lofa, halafu wewe ambaye leo sio lofa, bali unawaita wengine ma lofa, kesho wewe ndio unaweza kuwa lofa au hata...!. Heshima ya mtu itokane na mchango wake kwa jamii na sio kutumia vigezo vya ulofa.Nani atampa kesi lofa huyu