Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #41
Mapambio nimepiga nikiwa mwandishi tuu na mtangazaji, sasa pia nina instruments, hivyo sasa I'm not only the barking dog who can only bark, now I can bite as well!.Heheheh endelea kupiga mapambio sie hatuna habari๐๐๐!!!
The correct words ni mti na sio mnazi, kwasababu, japo mnazi ni mti, ila hauna matawi.Kwa kifupi tu sio rahisi mtu kukata tawi la mnazi alilokalia,
Kwa neno "msambaza asali wenu", Please...!.hizo ni ngonjera amabazo tushazizoea angeliongea hilo Magufuli ningewaza pengine kuna jipya ila sio huyo msambaza asali wenu.
Maisha ndivyo yalivyoMkuu Gulwa, huku sio kunitendea haki!
Asante.Maisha ndivyo yalivyo
Mkuu Zuga, sio kila kitu ni Bi Mkubwa, vitu vingine sio yeye, bali wasaidizi wake!. Niliwahi kushauri Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe mudaBimkubwa kachemka kinoma , kupanga kununua vichwa chakavu vya treni kwenye mradi mpya wa matrilioni ni ujinga wa karne! wanaomuuzia wanamdharau na kumcheka kwa ujinga huo!
Thanks for this observation.Simple logic, vichwa vipya vichache tu vitapiga kazi kubwa regularly nenda rudi mwanzo mwisho na vitanunua hizo vichwa chakavu ila vichwa chakavu havitaleta pesa ya kununua vichwa vipya sababu ya kushinda karakaana daily for maintenance!
Usiishie kumkubali tuu, bali msaidie ili afanikiwe, tufanikiwe.Mengine namkubali sana Bimkubwa!
Juu ni heading, chini ni mwendelezo.P mbona mistari mingine imefutika katika bandiko lako,au unalipigia chapuo gazeti unaloandikia๐ค
Kwanza asante kuniita lofa! kwasababu kwa sasa hapa nilipo ni lots kweli.
Sio kila wakili ni wakili mtafuta kesi. Nimemaliza LL.B UDSM, 2007, sijawahi kuomba kuwa wakili. Hata huu uwakili wangu sio uwakili wa kusubiria kupewa kesi. Uwakili wangu ni more strategic than kwenda mahakamani.
P
Nitafute tuu I'm always available.Hongera mtu wangu. Nitakutafuta.
Kwanza asante kuniita lofa! kwasababu kwa sasa hapa nilipo mimi ni lofa kweli, ila ulofa sio kitu permanent, mtu anaweza kuwa lofa leo, na kesho akawa sio lofa, halafu wewe ambaye leo sio lofa, bali unawaita wengine ma lofa, kesho wewe ndio unaweza kuwa lofa au hata...!. Heshima ya mtu itokane na mchango wake kwa jamii na sio kutumia vigezo vya ulofa.
Sio kila wakili ni wakili mtafuta kesi. Nimemaliza LL.B UDSM, 2007, sijawahi kuomba kuwa wakili. Hata huu uwakili wangu sio uwakili wa kusubiria kupewa kesi. Uwakili wangu ni more strategic than kwenda mahakamani.
P
True, na ndio maana sijiiti Wakili Msomi, mimi ni Wakili Mtangazaji Pasco Mayalla. Wakili Msomi anafanyia kazi mahakamani, Wakili Mtangazaji anafanyia uwakili kwenye TV.Ceremonial attorney!
Mkuu pilipili kichaa , hivi u DC mnauona dili sana compared na ninachofanya kwa jamii?. Mimi Pasco Mayalla nipewe UDC ili nikafanye nini? au nikapate nini?.Kwa Mama namuunga mkono kwa sana, lakini nikuulize kitu Mayala, hivi hata U-DC umegoma kabisa?
True, na ndio maana sijiiti Wakili Msomi, mimi ni Wakili Mtangazaji Pasco Mayalla.
P
Shikilia hapohapo bro.
Nimeshika kwa makini sana kama Luba.Shikilia hapohapo bro.
Nafikiri muda utaongea na tutafahamu ukweli siku moja.Mkuu blogger, asante kwa swali zuri. Kwanza tutofautishe hisani na wajibu, hisani ni vitu vinavyofanywa kwa favours na sio wajibu. Mfano wewe unawajibika kwa matunzo ya familia yako ikiwemo chakula, mavazi, malazi etc huo ni wajibu wako, kutimiza wajibu wako is not favours, its a responsibility. Ila kutokana na hali yako ukiamua badala ya kuwanulia mkate wewe utanunua keki, mayai na sausages for breakfast, hapo ndio umefanya hisani, au umeamua kununua chakula na kumgawia na jirani yako.
Usalama, amani na utulivu is a responsibility and it's not a favour, ni wajibu na jukumu la kila mtu to maintain that.
Hivyo ili nchi iwe na Amani na utulivu, piece and tranquility kuna vyombo vya kuhakikisha hilo na kuna viongozi wa kusimamamia hilo, hivyo whoever responsible for this ni wajibu wake na sio hisani.
P
Hawa wote ni wachumia tumbo
Mlizoea kuhonga Wapinzani uchwara kwenye utawala wa ndugu yenu muuaji Sasa mnadhani Kila Mtu anahonga. Yaani Mtu na akili zako unamhonga Hadi Moleli arudi CCM Kwa lipi atakaloongeza?Hela za kujengea flyover zimepelekwa kuwahonga akina, Zito, Lisu, Mbowe ili wakae kimya!!