milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Anaupiga mwingiNi kweli kabisa Samia ni mpenda haki, ila iwapo kipimo cha haki itakuwa ni Magufuli tu. Lakini kutenda haki kama haki bado yuko kwenye level ya chini.
Hamkuti dhalimu magu.Anaupiga mwingi
😂😂😂Najua unaumia kimoyo moyo!Hamkuti dhalimu magu.
Naumizwa na nini? Ww ndio umepata mahali pa kijipoozea maana umeona kumbe sio magu dhalimu tu, hata wengine wanaweza kuwa madhalimu. Ni hivi, magufuli ataendelea kuwa kwenye historia ya viongozi mashetani waliotawala nchi hii. Hutaki jinyonge.😂😂😂Najua unaumia kimoyo moyo!
Yani dhalimu wa Samia umevunja rekodi!
Niliwashangaa sana eti mlikuwa mnamsifia hangaya ili kumkomoa Magu!
Mpeni tena zile sifa zenu nyambafu
We mjinga tu watu wanauawa wewe unahangaika na mwendazake! Kwa hiyo inabidi watu wafe sana Ili kufikia kiwango ambacho unadhani walikufa kipindi Cha unayemwita dhalimu ndiyo uone kuwa watu kupotea na kuuawa si sawa?Naumizwa na nini? Ww ndio umepata mahali pa kijipoozea maana umeona kumbe sio magu dhalimu tu, hata wengine wanaweza kuwa madhalimu. Ni hivi, magufuli ataendelea kuwa kwenye historia ya viongozi mashetani waliotawala nchi hii. Hutaki jinyonge.
Kaongee na niliyemjibu yeye ndio kaleta habari za huyo dhalimu.We mjinga tu watu wanauawa wewe unahangaika na mwendazake! Kwa hiyo inabidi watu wafe sana Ili kufikia kiwango ambacho unadhani walikufa kipindi Cha unayemwita dhalimu ndiyo uone kuwa watu kupotea na kuuawa si sawa?
Hii ni haki ambayo Rais Samia alipaswa kuitekeleza kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa,haikutekelezwa,ila Rais Samia bado anayo fursa ya kuitekeleza kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025,kwa vile hakuna any justifiable reasons kwanini haki hii haikutekelezwa,then,there is no guarantee kuwa haki hii itatekelezwa kabla ya uchaguzi wa 2025。Wanabodi,
Kama kawaida yangu, huandika Makala za "Kwa Maslahi ya Taifa". Hii ni makala ya wiki hii, iliyotoka kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.
View attachment 2285945View attachment 2285946
Karibuni.
Pasco
Hawezi kufanya hilo Paskali, Yeye na mkwewe wanaiba kura kwa kwenda mbele. Yote haya yana mwisho.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, huandika Makala za "Kwa Maslahi ya Taifa". Hii ni makala ya wiki hii, iliyotoka kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.
View attachment 2285945View attachment 2285946
Karibuni.
Pasco
Ameishiwa aibu yeye na mkwe wake, yaani uibaji wa kura upo wazi, utesaji na utekaji wa mawakala na uingizaji wa kura zilizopigwa kabla halafu anasema kuwa wameshinda? Kweli hawa watu mishipa ya aibu imeshakatika. Aibu aibu aibu.Wanabodi,
Kama kawaida yangu, huandika Makala za "Kwa Maslahi ya Taifa". Hii ni makala ya wiki hii, iliyotoka kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.
View attachment 2285945View attachment 2285946
Karibuni.
Pasco
HBD Rais Samia!.Wanabodi,
Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,
Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.
Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!
HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.
Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.
Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.
If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.
Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.
Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.
Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
Endelea kusubiria, huu ni mwaka kwa uchaguzi, hivyo baadhi ya watembea mabega juu, mwaka huu hujishusha, tuendelee kusubiria tuu, huku unakula mtori wako taratibu, nyama utakutana nazo chini!.Nasuburia kwa hamu kubwa mahojiano yako Pascal Mayalla na mhe Samia. Naamini maswali yako yatajikita kwenye masuala ya maslahi ya taifa tu