Haki Tanzania na 4R za Samia, Ni Mabadiliko ya Kweli au ni Kiinimacho?. Watanzania Waelimishwe Haki Zao, 4R Zisiwe Maneno Matupu, Tuombe Vitendo au?

Haki Tanzania na 4R za Samia, Ni Mabadiliko ya Kweli au ni Kiinimacho?. Watanzania Waelimishwe Haki Zao, 4R Zisiwe Maneno Matupu, Tuombe Vitendo au?

Wanasiasa ni sehemu ya wananchi, mimi mwenyewe nilifika mbele ya Kikosi kazi mara tatu, angalia maoni yangu

View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=M9i2Pp-oM5qx8VbN

View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=3n1KHPpHizSwXVOj

View: https://youtu.be/lBC3xKODSvY?si=8Fg31vNPCStcN2OY
angalia kimetekelezwa kipi?!.
P

P wewe ni mwanasiasa tupe maoni ya wananchi haswa....Priority au shida yao ni hizi tunazopigizana nazo kelele au wana priorities nyingine kabisa na hakuna anayezitaja ??
 
P wewe ni mwanasiasa tupe maoni ya wananchi haswa....Priority au shida yao ni hizi tunazopigizana nazo kelele au wana priorities nyingine kabisa na hakuna anayezitaja ??
Kuna mahitaji ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, priorities za wananchi ni za kiuchumi na kijamii, pesa, mfumko wa bei, huduma kijamii afya elimu, maisha bora etc
P
 
Kuna mahitaji ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, priorities za wananchi ni za kiuchumi na kijamii, pesa, mfumko wa bei, huduma kijamii afya elimu, maisha bora etc
P
Hapo ndipo mimi kama mwananchi ningependa tujikite ...kumbuka historically tumekuwa tunadeal na priority za kisiasa na matokeo yake tunayaona hadi sasa...why keep on wasting the resources on politics.
nikifuatilia trend najikuta napata yafuatayo...
Mwalimu Nyerere aling'atuka ili kutua fursa ya mabadiliko hususani kiuchumi na kijamii...doing away from polical stance.
Rais Mwinyi alifungua uchumi .
Mkapa aliboresha namna ya umakini katika kufungua uchumi na kiasi kureform taasisi za kiuchumi.
Rais Kikwete aliunda taasisi za dunia ya sasa za kusimamia uchumi na kuongeza diplomasia ya kiuchumi.
Rais Magufuli alileta paperworks into realities na kuhakikisha tunaondoa gape lilokuwepo na nchi za ukanda wetu.
Mhe. Rais Samia anaboresha huduma za kijamii kwa kasi kubwa sana huku akifungua zaidi diplomasia za kiuchumi ...leo hii ushawishi wetu barani Africa ,kusini mwa Afrika unakuwa kasi ukiwa na approach ya kujinufaisha na fursa za kidunia.

How come mnataka kiturejesha kwenye harakati za ukombozi ??siasa za bugudha n.k
ielewe sasa hoja na haja yangu kama mwananchi.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
 
Wanabodi,

Zawadi yangu kwa Birthday ya Mama nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.


Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
HBD Rais Samia!.
P
 
Back
Top Bottom