Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Kuna watu watakuja hapa watakwambia wewe ni sukuma gang.
 
Jibu swali kwa nini hakusema ni mkopo akasema ni pesa za ndani stupid
Kaangalie hotuba zake , alikuwa anasema fedha za ndani pamoja na mkopo , ila mama anajenga shule kwa mikopo , je fedha za ndani zinafanya kazi gan?
 
Kaangalie hotuba zake , alikuwa anasema fedha za ndani pamoja na mkopo , ila mama anajenga shule kwa mikopo , je fedha za ndani zinafanya kazi gan?
Niangalie hotuba za nani?bora kuangalia mpira au mieleka ila sio uongo wa yule jamaa
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Sio rahisi akatokea kama Magufuli
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Kwenye maeneo mengine yote ukitoa siasa nilimpenda! Sana na ninamkumbuka sio siri!
Ila kwenye siasa hapana
 
Personally simkubali Magufuli Ila pamoja na yote haimaanishi kwamba hajawahi kufanya mambo mazuri ambayo nimeweza kuyakubali.

Magufuli jambo la kwanza na la muhimu akirudisha nidhamu ya kazi kwa watumishi wa umma na kuhakikisha kwamba fedha za umma zinatumika ipasavyo pamoja sasa alikuwa hajui nini kiwe kipaumbele na kipi aache alikuwa anasoma kila kitu bila hata plan.

Nidhamu ya kazi kwa watumishi wa umma umeanza kuzorota siku Hadi siku kwakweli hii inasikitisha sana.

Tunaweza kujikuta kwenye kukusanya Kodi na mapato matrilioni kwa trillions Ila Kama Ile nidhamu alivyoweka Magufuli hatutaiendeleza basi itakuwa kazi bure.

Rais wa Sasa anaweza kujenga madarasa mengi Ila Kama nidhamu ya kuyatunza haitakuwepo na kuwandisha vijana wetu kwa moyo wa kizalendo basi itakuwa kazi bure kabisa.

Lazima tukubali kuendeleza mazuri ya viongozi waliopita, yale yenye mapungufu turekebishe .
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
Mpaka mkiri....
 
Back
Top Bottom