Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

Haki ya Mungu nimejikuta namkumbuka Magufuli ghafla tu

mwaka jana tulipata tatizo la luku ilipiga short, tukapiga simu tanesco na ndani lisaa wakafika wakaungani wavojua wenyewe tukatumia zaidi ya wiki moja bure mpaka walipo leta luku mpya,

juzi shinda jana jirani yetu mti umeangukia waya za umeme hadi leo hawajaja pamoja na kupigiwa simu kadhaa

Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
Umeona sasa walivyo?
Jamaa aliweza sana maeneo hayo
 
Magu ana mabaya yake na Mazuri yake kama Binadamu, Lakini Tukiweka Mzani basi Mazuri ni Mengi, Mzee huyu kwa Kweli alikuwa Mzalendo Haswaaa
 
''hii ni serikali yangu siyo ya ccm'' alisema magufuri.
Magufuli ndiyo kiongozi pekee wa ccm alipata kupigiwa kura namimi, na sifikiri kama atatokea mwingine pale ccm au hata upizani wakuweza kunishawishi kumpa kura yangu.
MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPONI
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena
 
Wakati wa Magufuli 2016 au 17 kama sijakosea nilipata loose connection kwenye mstimu nje ya nyumba ninayoishi, nikapiga emergency TANESCO na ndani ya robo saa wakafika na kurekebisha kisha nikawapa 15,000 kama ahsante, haki ya Mungu waliikataa


Leo tatizo limetokwa tena nikapiga simu wakasema mafundi wanakuja, nimesubiri weeee masaa yamepita nikaamua kwenda ofisini kwao nikawakuta mafundi wakaniambia nenda tunakuja, nikaondoka masaa yakapita tena hawajaja nikaenda tena nawabembeleza niwape hela wanirudishie huduma pia wanadengua labda kiwango hakitoshi

Kweli Magufuli alikuwa jembe
Na sidhani kama atatokea kama yeye tena

Ungeenda clouds tv watoe kwenye jicho la mwewe nakuhakikishia wiki isingeisha wangekuwa wamerekebisha hiyo nguzo
 
Kwani Magu si ni CCM? Na sasa bado ni CCM wanaongoza? NANI ALIKUAMBIA KUNA MTU ANAISHI MILELE? Ndio shida ya watu kuweka tegemezi kwa binadamu.
Yule ni specie nyingine kabisa. Huoni alivyowavuruga mle ndani mpaka wengine wakakimbia nchi! Wacha niishie hapa
 
Mambo yamebadirika saana.
Ukitaka kujuwa ona yule TANESCO wa Jamiiforums alivyo kimyaa siku hizi. Wakati ule, angekuwa ameshakuja hapa haraka kuomba details za mlalamikaji.
Aisee 😂😂😂
 
Itoshe kusema tu Magufuli alikuwa ni jembe
Lakini siyo kusema hudhani atatokea tena kama yeye.
Watanzania tuko 60M huenda kuna wazuri kuliko alivyokuwa yeye ni suala la Mda tu.!
Ni kweli kabisa usemayo! Nakuhakikishia wapo watu zaidi ya Magufuli wapo mitaani miongoni mwetu milioni 60! Lakini nafasi yao kushika uraisi ni ndogo Sana na ndiyo maana wengine wamesema haitakaa itokee! Mfano mdogo tu, unadhani ndani ya CCM kuna fisadi yeyote anayeweza kuruhusu mtu wa aina ya Magufuli kuchukua uongozi??
 
Watakuja kukupa muongozo kuwa umelipwa na UVCCM ya sukuma gang kuja kumpigia promo aliyekwenda zake[emoji23][emoji23].

Kuna mijitu ina roho ngumu yaan magumu yote haya anayosababisha huyu bibi wa kizenji, inajifanya haitaki kukumbuka ule mseleleko wa Magu, hayo yote yanasababishwa na chuki walizopandikizwa na viongoz wao wa hovyo hovyo.

Bitter truth, yajayo yanafurahisha, huyu bibi kaboronga na anazidi kuboronga
Tumpe mama nafasi. Anahujumiwa na Sukuma Gang.

Subirini awamalize wahujumu mambo yatakaa mwendo mserereko
 
Back
Top Bottom