Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mambo mengi tu mkuu hayaendi.
Ni kama vile Taifa limekosa dira.
Taifa limekosa kiongozi mwenye maono na kuyasimamia ili yatimie.
Kinachoendelea sasa ni kuchambana tu.
Sijui mwisho wa haya ni nini ila ipo haja ya kukalishana na kuelezana ukweli.
Hatuwezi enda kama vile hatuna vichwa.
Ni kama vile Taifa limekosa dira.
Taifa limekosa kiongozi mwenye maono na kuyasimamia ili yatimie.
Kinachoendelea sasa ni kuchambana tu.
Sijui mwisho wa haya ni nini ila ipo haja ya kukalishana na kuelezana ukweli.
Hatuwezi enda kama vile hatuna vichwa.